PBZ KUDHAMINI MECHI YA MUUNGANO KATI YA KILIMANJARO NA ZANZIBAR HEROES UGHAIBUNI MTANANGE KUPIGWA APRIL 26, 2015
Viongozi: Wageni rasmi wa sherehe za Muungano Mhe: Mwigulu Nchemba (wapili kulia) akifuatiwa na Balozi Mulamula, pamoja na Balozi wa Waziri wa Nchi Zanzibar, Ofisi ya Rais na MBM Dr. Mwinyihaji Makame, (wakwanza kulia) Balozi Mwinyi (kulia)Viwe Juma,wapili kulia ambae ni Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara ya Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakimkabidhi jezi nahodha wa timu ya Zanzibar Heroes Abuu Qullatein katika Sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMECHI YA ZANZIBAR HEROES NA KILIMANJARO DMV PATAKUA HAPATOSHI
Mechi ya Muungano itakayochezwa siku ya Jumapili April 26, 2015 katika viwanja vya kisasa tofauti na ile ilipochezewa mwaka jana inasubiliwa kwa hamu hasa na wachezaji wa Zanzibar Heroes ambao wamesema mechi yao ya mwaka jana ushindi ulikuwa wa kwao lakini hujuma zilifanyika katika kupigiana penati ili mpira umalizike kwa ngoma droo.
Katima mechi hiyo iliyokua na upinzani wa hali juu kutoka timu zote mbili iliyoanza kwa timu ya Kilimanjaro kuanza...
10 years ago
VijimamboBBQ NA MTANANGE WA MUUNGANO KUFANYIKA. WALKER MILLS SIKU YA JUMAMOSI PBZ KUKABIDHI JEZI KESHO
Mechi ya Muungano itakayochezwa Jumamosi April 25, 2015 kati ya timu ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani chini ya udhamini wake People's Bank of Zanzibar(PBZ) ambao ndio wa dhamini mechi hii tangia mwaka jana.
Mechi inatarajiwa kuanza saa 12 jioni na kutakua na BBQ kuanzia saa nane mchana hapo hapo Walker Mills
Timu zote zipo kwenye mazoezi makali zikijiwinda na mpambano huo.
Anuani ya uwanja ni 8001 Walker Mill Road, District Heights, MD, 20747,
![](http://1.bp.blogspot.com/-FqR6ww4NRyg/VTYLjQg3XFI/AAAAAAADjYo/olF7pLvEBtE/s1600/3b88de8b1257ae64543da61b0a8241ec.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HMXt3ZoJU7A/VTYLj63wziI/AAAAAAADjY0/QiEgYvyJPL0/s1600/e30e7d9565dd2c6019aa192cd7cf57a8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vSTTR-M83ys/VTYLjSaehUI/AAAAAAADjYs/6zl8pMAlKgM/s1600/8146a17e8af474bac658527fd5407f7a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-h9WIPQD4z4s/VTYLjwqCRZI/AAAAAAADjYw/EYTh1A2f8Fk/s1600/8374816265f8b03c567b70eba4f81e4b.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
10 years ago
VijimamboMTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UBk99zACxBc/VSu9Ih5-JfI/AAAAAAADiZA/aU_vJB3HY4E/s72-c/e8887eb5a71a1c9c9fbf2d19a57a0bed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-1d1cko0yojM/VTAvMXrzrHI/AAAAAAAAGJY/ahIjLka61rU/s72-c/Government-of-Tanzania-Logo.jpg)
MUUNGANO DAY DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-1d1cko0yojM/VTAvMXrzrHI/AAAAAAAAGJY/ahIjLka61rU/s1600/Government-of-Tanzania-Logo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXk3wvhUJxI/VTAvFtKcXzI/AAAAAAAAGJQ/NmYPq22BMOY/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B2r2oq4T7sQ/VTAtUK54-pI/AAAAAAAAGI8/4HL2J_Go3H4/s1600/14-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVspZH9mYlI/VTAuTYb5LlI/AAAAAAAAGJI/GxtjQB87wnE/s1600/disco.jpg)
SIGNATURE BLUE EVENTS CENTER6500 VIRGINIA MANORBELTSVILLE, MD 20705
9;00 PM-4;00 AM
$10 COVER CHARGE
10 years ago
VijimamboTANZANIA BARA YAKUBALI KIPIGO CHA GOLI 7-1 KUTOKA ZANZIBAR HEROES WADAI WAMEFUNGWA KUIMARISHA MUUNGANO
10 years ago
Vijimambo16 Apr
Tangazo la Misa - Kuadhimisha Muungano, Capuchin College, April 19, 2015, 2:00 PM
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahiliKusheerekea Sikukuu ya Muungano 2015
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 19 Aprili 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UvwL3Rs9NRk/VAnpx8TJ9mI/AAAAAAAAEVE/b48w150g9ko/s1600/logo%2Btanzania.jpg)
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aN7EqULMVg/VOA-w7tSj5I/AAAAAAAAGA8/TMIs4TSe4zE/s1600/14-1.jpg)
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10