Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MECHI YA ZANZIBAR HEROES NA KILIMANJARO DMV PATAKUA HAPATOSHI

 Timu ya Zanzibar HeroesTimu ya Kilimanjaro
Mechi ya Muungano itakayochezwa siku ya Jumapili April 26, 2015 katika viwanja vya kisasa tofauti na ile ilipochezewa mwaka jana inasubiliwa kwa hamu hasa na wachezaji wa Zanzibar Heroes ambao wamesema mechi yao ya mwaka jana ushindi ulikuwa wa kwao lakini hujuma zilifanyika katika kupigiana penati ili mpira umalizike kwa ngoma droo.

Katima mechi hiyo iliyokua na upinzani wa hali juu kutoka timu zote mbili iliyoanza kwa timu ya Kilimanjaro kuanza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PBZ KUDHAMINI MECHI YA MUUNGANO KATI YA KILIMANJARO NA ZANZIBAR HEROES UGHAIBUNI MTANANGE KUPIGWA APRIL 26, 2015

Viongozi: Wageni rasmi wa sherehe za Muungano Mhe: Mwigulu Nchemba (wapili kulia) akifuatiwa na Balozi Mulamula, pamoja na Balozi wa Waziri wa Nchi Zanzibar, Ofisi ya Rais na MBM Dr. Mwinyihaji Makame, (wakwanza kulia) Balozi Mwinyi (kulia)Viwe Juma,wapili kulia ambae ni Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara ya Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakimkabidhi jezi nahodha wa timu ya Zanzibar Heroes Abuu Qullatein katika Sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI BASKETBALL REUNIO LEO PATAKUA HAPATOSHI

Kikapu kitapigiwa hapaWachezaji wakijifua
PAZI BASKETBALL AND ITS FAMILY MEMBERS HAS ORGANIZED A BASKETBALL BONANZA THAT IS SCHEDULED TO TAKE PLACE ON MARCH 13TH -15TH, 2015 IN HOUSTON, TEXAS.EVENTS:●      ON FRIDAY 13TH OF MARCH, 2015 NETWORKING

●      LUNCH, DINNER, AND DRINKS WILL BE AVAILABLE AT MADIKODIKO LOCATION

BASKETBALL BONANZA LOCATION●      ON SATURDAY 14TH, FROM 10:00A.M TO 5:00 PM, AT 8601 CHIMNEY ROCK ROAD, HOUSTON TEXAS, US.

MUSICBY DJ LUKE
●       NEW, OLD SCHOOL MUSICS, AND THE...

 

11 years ago

Michuzi

benki ya watu wa zanzibar yadhamini Zanzibar heroes marekani

Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya  Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi waliohudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba  ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar Heroes waendelea kusota hotelini

WACHEZAJI wa timu ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ wamepanga kujigharamia nauli zao wenyewe ili waweze kupanda mabasi kurejea nchini Tanzania. Heroes toka Jumanne iliyopita waliondolewa katika michuano ya Chalenji na kujikuta...

 

9 years ago

BBCSwahili

Djibout na Zanzibar Heroes hali tete

Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP 2015 imeendelea jana jumatano kwa michezo minne ya hatua ya makundi.

 

10 years ago

Vijimambo

NYAMA CHOMA NA MECHI YA VIJANA NA WAZEE DMV MAY 23 MEADOWBROOK PARK

 Timu ya Wazee Timu ya VijanaDave akimteza kipa wa Wazee Said Mwamende
Siku ya Jumamosi May 23, 2015 kutafanyika mechi kati ya wazee na vijana itakayokwenda sambamba na nyama choma katika viwanja vya Meadowbrook Park 7901 Meadowbrook Lane Chevy Chase, MD 20815.

Kwa wachezaji timu ya Wazee tafadhali wasiliana na nahodha wa timu Mude 202 644 1829
na kwa timu ya Vijana wasiliana na Yusuf 202 710 9019

 

9 years ago

Mtanzania

Zanzibar Heroes, Kili Stars kazini Chalenji

2-5NA ZAINAB IDDY

MICHUANO ya Chalenji inayoshirikisha nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), inatarajia kuanza leo nchini Ethiopia huku timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ ikianza kibarua kwa kuvaana na Burundi huku wenzao wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wakicheza kesho kwa kucheza na Somalia.

Michuano hiyo inayoanza leo itamalizika Desemba 6 mwaka huu ambapo Zanzibar Heroes inayonolewa na Kocha mkuu, Hemed Morocco, akisaidiana na Malale Hamsini, ipo kundi B pamoja...

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA

Moja ya magoli ya Zanzibar Heroes yakimuacha kipa Mussa Linga wa Tanzania Bara asijue la kufanyaWachezaji wa pande zote mbili wakichuana vikaliMpambano ukiendeleaMechi ni kali

 

9 years ago

TheCitizen

Zanzibar assistant coach fires warning to Heroes aces

Zanzibar Heroes assistant coach Malale Hamsin Keya yesterday issued an ultimatum to four players who have yet to report at camp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani