MECHI YA ZANZIBAR HEROES NA KILIMANJARO DMV PATAKUA HAPATOSHI
Timu ya Zanzibar Heroes
Timu ya Kilimanjaro
Mechi ya Muungano itakayochezwa siku ya Jumapili April 26, 2015 katika viwanja vya kisasa tofauti na ile ilipochezewa mwaka jana inasubiliwa kwa hamu hasa na wachezaji wa Zanzibar Heroes ambao wamesema mechi yao ya mwaka jana ushindi ulikuwa wa kwao lakini hujuma zilifanyika katika kupigiana penati ili mpira umalizike kwa ngoma droo.
Katima mechi hiyo iliyokua na upinzani wa hali juu kutoka timu zote mbili iliyoanza kwa timu ya Kilimanjaro kuanza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPBZ KUDHAMINI MECHI YA MUUNGANO KATI YA KILIMANJARO NA ZANZIBAR HEROES UGHAIBUNI MTANANGE KUPIGWA APRIL 26, 2015
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled58.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-t44fsh7plPg/VPF-OOvxTTI/AAAAAAADa8s/h5CJEULuhMs/s72-c/IMG-20150227-WA018.jpg)
PAZI BASKETBALL REUNIO LEO PATAKUA HAPATOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-t44fsh7plPg/VPF-OOvxTTI/AAAAAAADa8s/h5CJEULuhMs/s1600/IMG-20150227-WA018.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-_iyv9lO0DUM%2FVPF-NZSeXfI%2FAAAAAAADa8k%2FxyQS3I_0Yog%2Fs1600%2FDisplaying%252BIMG-20150227-WA017.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ROoNsit2FyE%2FVPGAaQGU2WI%2FAAAAAAADa9E%2FVVtv1wLtgCc%2Fs1600%2FDisplaying%252BIMG-20150227-WA008.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PAZI BASKETBALL AND ITS FAMILY MEMBERS HAS ORGANIZED A BASKETBALL BONANZA THAT IS SCHEDULED TO TAKE PLACE ON MARCH 13TH -15TH, 2015 IN HOUSTON, TEXAS.EVENTS:● ON FRIDAY 13TH OF MARCH, 2015 NETWORKING● LUNCH, DINNER, AND DRINKS WILL BE AVAILABLE AT MADIKODIKO LOCATIONBASKETBALL BONANZA LOCATION● ON SATURDAY 14TH, FROM 10:00A.M TO 5:00 PM, AT 8601 CHIMNEY ROCK ROAD, HOUSTON TEXAS, US.MUSICBY DJ LUKE
● NEW, OLD SCHOOL MUSICS, AND THE...
11 years ago
Michuzibenki ya watu wa zanzibar yadhamini Zanzibar heroes marekani
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zanzibar Heroes waendelea kusota hotelini
WACHEZAJI wa timu ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ wamepanga kujigharamia nauli zao wenyewe ili waweze kupanda mabasi kurejea nchini Tanzania. Heroes toka Jumanne iliyopita waliondolewa katika michuano ya Chalenji na kujikuta...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Djibout na Zanzibar Heroes hali tete
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA NA MECHI YA VIJANA NA WAZEE DMV MAY 23 MEADOWBROOK PARK
Siku ya Jumamosi May 23, 2015 kutafanyika mechi kati ya wazee na vijana itakayokwenda sambamba na nyama choma katika viwanja vya Meadowbrook Park 7901 Meadowbrook Lane Chevy Chase, MD 20815.
Kwa wachezaji timu ya Wazee tafadhali wasiliana na nahodha wa timu Mude 202 644 1829
na kwa timu ya Vijana wasiliana na Yusuf 202 710 9019
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Zanzibar Heroes, Kili Stars kazini Chalenji
NA ZAINAB IDDY
MICHUANO ya Chalenji inayoshirikisha nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), inatarajia kuanza leo nchini Ethiopia huku timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ ikianza kibarua kwa kuvaana na Burundi huku wenzao wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wakicheza kesho kwa kucheza na Somalia.
Michuano hiyo inayoanza leo itamalizika Desemba 6 mwaka huu ambapo Zanzibar Heroes inayonolewa na Kocha mkuu, Hemed Morocco, akisaidiana na Malale Hamsini, ipo kundi B pamoja...
10 years ago
VijimamboMTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Zanzibar assistant coach fires warning to Heroes aces