benki ya watu wa zanzibar yadhamini Zanzibar heroes marekani
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi waliohudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ub2ToXc1mJk/VZRfqM-TipI/AAAAAAAHmTc/h9E2FVAuv9I/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZTVeUcNDko/VZRfrIz5OII/AAAAAAAHmTs/yojDIVsb45E/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QtMTgvshKR4/VZRfpO8BxDI/AAAAAAAHmTI/B4s-X0vVApE/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Kw7bbpOcmw/VZRfpNEYH2I/AAAAAAAHmTE/n4tMIOfTgrI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi
Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.
Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar awasilisha agizo la Serikali yake kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TrC4TyHFPKQ/U1zBUAVpaVI/AAAAAAAFdcY/Ka-s_bPNpX0/s1600/unnamed+(33).jpg)
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Djibout na Zanzibar Heroes hali tete
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zanzibar Heroes waendelea kusota hotelini
WACHEZAJI wa timu ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ wamepanga kujigharamia nauli zao wenyewe ili waweze kupanda mabasi kurejea nchini Tanzania. Heroes toka Jumanne iliyopita waliondolewa katika michuano ya Chalenji na kujikuta...
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Zanzibar Heroes, Kili Stars kazini Chalenji
NA ZAINAB IDDY
MICHUANO ya Chalenji inayoshirikisha nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), inatarajia kuanza leo nchini Ethiopia huku timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ ikianza kibarua kwa kuvaana na Burundi huku wenzao wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wakicheza kesho kwa kucheza na Somalia.
Michuano hiyo inayoanza leo itamalizika Desemba 6 mwaka huu ambapo Zanzibar Heroes inayonolewa na Kocha mkuu, Hemed Morocco, akisaidiana na Malale Hamsini, ipo kundi B pamoja...
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Zanzibar assistant coach fires warning to Heroes aces