Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYAMA CHOMA NA MECHI YA VIJANA NA WAZEE DMV MAY 23 MEADOWBROOK PARK

 Timu ya Wazee Timu ya VijanaDave akimteza kipa wa Wazee Said Mwamende
Siku ya Jumamosi May 23, 2015 kutafanyika mechi kati ya wazee na vijana itakayokwenda sambamba na nyama choma katika viwanja vya Meadowbrook Park 7901 Meadowbrook Lane Chevy Chase, MD 20815.

Kwa wachezaji timu ya Wazee tafadhali wasiliana na nahodha wa timu Mude 202 644 1829
na kwa timu ya Vijana wasiliana na Yusuf 202 710 9019

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VIJANA WAKATA RUFAA MECHI KURUDIWA JUMAPILI MEADOWBROOK

 Timu ya Wazee Timu ya Vijana
Timu ya Vijana hatimae rufaa yake imekubaliwa na mechi yao na Wazee DMV kurudiwa siku ay Jumapili July 19, 2015 katika uwanja wa Meadowbrook Park.

Mechi inatarajiwa kuwa kali na inatarajiwa kuanza saa 11:45 jioni(5:45pm). Mechi iliyopita Vijana japo walitanguliakufunga magali lakini baadae kuzidiwa  na kujikuta kufungwa magali 5-3 na timu ya Wazee iliyotumia uzoefu wao kuonyesha makali yao.

Mechi inatarajiwa kuwa kali na ya kulipiza kisassi.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID TAMCO ZILIZOFANYIKA MEADOWBROOK PARK

Meza kuu ikiongozwa na mwenyekiti wa TAMCO Ally Moahamed (kati) wakiwemo wawakilishi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. afisa wa uhamiaji Bwn. Abbas Nissana (kulia) na Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Colonel Adolph Mutta.Mtunza fedha wa TAMCO Bi. Asha Harizi (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake. Colonel Mutta akiongea machacheKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Michuzi

NYAMA CHOMA FESTIVAL

NYAMA CHOMA FESTIVAL-DAR 6 SEPT TICKETS ZINAUZWA SAMAKI SAMAKI YA POSTA NA YA MLIMANI CITY KWA SH 7000 TU.GETINI SH 10,000.

 

10 years ago

TheCitizen

Another nyama choma success story

Going by the long queues of vehicles stretching all the way to Ali Hassan Mwinyi road, it was undeniable that this event has for the last three years been a bid deal for locals. 

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Shindano la Nyama choma lafunguliwa

>Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Safari imetangaza rasmi uzinduzi wa shindano la uchomaji  nyama kwa mwaka huu wa 2014.

 

10 years ago

Vijimambo

NYAMA CHOMA YA DICOTA 2014 YAFANA

Mhe. Liberata Mulamula akihudhuria nyama choma ya DICOTA 2014 iliyofanyika baada ya mkutano mkuu kumalizika jioni ya Jumamosi Oct 4, 2014.Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa Bi. Rosemery Jairo akichoma kuku kwenye nyama choma ya DICOTA iliyofanyika jioni ya Jumamosi Oct 4, 2014 Durham, North Carolina.Wadau mbalimbali waliohudhuria mkutano wa DICOTA 2014 wakipata nyama choma.Nyama choma ikiendelea.kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

9 years ago

Dewji Blog

Nyama Choma Festival a culture one should never miss

SAM_5023

DJ Micho entertaining the Heineken lovers (not in picture) during the Nyama Choma Festival.

Tanzania’s prime Nyama Choma Festival which was held on September 5th 2015 brought together meat lovers for an afternoon of fun, music and relaxation.

The festival organized by Alta Vista Events and indulged fans to a variety of sumptuous flame grilled meats plus electric live entertainment from a line-up of talented entertainers, including AY, Mwana FA and FM Academia while enjoying international...

 

10 years ago

Michuzi

Kaymu Partners with the Nyama choma festival

Kaymu Partners with the Nyama choma Festival ticket sales. 28th May 2016 Dar-es-salaam, Tanzania- Kaymu, Tanzania’s number one online market place has partnered with the Nyama Choma festival to sell the events tickets online, of which the event will be held at the Leaders club on the 30th of May 2015. The tickets are available to anyone for a massive discount of only Tsh 5000, which is double the amount you will need to pay at the gate on the day of the event.
Kaymu Tanzania’s Head of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani