VIJANA WAKATA RUFAA MECHI KURUDIWA JUMAPILI MEADOWBROOK
Timu ya Wazee
Timu ya Vijana
Timu ya Vijana hatimae rufaa yake imekubaliwa na mechi yao na Wazee DMV kurudiwa siku ay Jumapili July 19, 2015 katika uwanja wa Meadowbrook Park.
Mechi inatarajiwa kuwa kali na inatarajiwa kuanza saa 11:45 jioni(5:45pm). Mechi iliyopita Vijana japo walitanguliakufunga magali lakini baadae kuzidiwa na kujikuta kufungwa magali 5-3 na timu ya Wazee iliyotumia uzoefu wao kuonyesha makali yao.
Mechi inatarajiwa kuwa kali na ya kulipiza kisassi.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA NA MECHI YA VIJANA NA WAZEE DMV MAY 23 MEADOWBROOK PARK
Siku ya Jumamosi May 23, 2015 kutafanyika mechi kati ya wazee na vijana itakayokwenda sambamba na nyama choma katika viwanja vya Meadowbrook Park 7901 Meadowbrook Lane Chevy Chase, MD 20815.
Kwa wachezaji timu ya Wazee tafadhali wasiliana na nahodha wa timu Mude 202 644 1829
na kwa timu ya Vijana wasiliana na Yusuf 202 710 9019
10 years ago
Habarileo06 Mar
Wanajeshi waliohukumiwa kifo wakata rufaa
WANAJESHI wawili waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Swetu Fundikira ambaye ni mtoto wa ndugu wa marehemu Chifu Abdallah Fundikira, wamekata rufaa kupinga adhabu hiyo.
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Mawakili wakata rufaa kesi ya bilionea Msuya
NA SAFINA SARWATT, MOSHI.
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi imeahirisha kesi ya mauaji ya bilionea Erasto Msuya, baada ya upande wa utetezi kukata rufaa kutokana na kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa wa kutupilia mbali ombi lao la kutopokewa kwa maelezo ya mshtakiwa wa tatu.
Upande wa utetezi unaongozwa na jopo la mawakili wanne ambao ni Hudson Ndusyepo anayemwakilisha mshtakiwa wa kwanza, Majura Magafi anayewawakilisha mshtakiwa wa pili na tano, Emmanuel Safari anayemwakilisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEw50x9S1JNfuE-uRLAdmxpLOXV4KSQxB2cHbTlh-7rENAB98f-OOkGl8ABWMso0RvNa02riiUjk5qQAmmMtG8pN/unnamed.jpg)
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-KA6nJefl_OY/Vhz2Nh9QNII/AAAAAAABXWI/O-PQzS8I5FQ/s640/vpl6.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZF50gJ1IzcV2uSWImDzhnQrcRpvP4XR1yQaTCGeH2cRrAMC9fm6JLl4aDsNU7zao9r7Z9oq7oUfLRqUh3GfZH77vhvFaI7YQ/EPL.jpg)
MECHI ZA LIGI KUU ENGLAND LEO JUMAPILI DESEMBA 29, 2013
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s72-c/ferro.jpg)
WAPINZANI WA AZAM FC WATUA DAR KAMILI JIONI HII TAYARI KWA MECHI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s1600/ferro.jpg)