Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAZI BASKETBALL REUNIO LEO PATAKUA HAPATOSHI

Kikapu kitapigiwa hapaWachezaji wakijifua
PAZI BASKETBALL AND ITS FAMILY MEMBERS HAS ORGANIZED A BASKETBALL BONANZA THAT IS SCHEDULED TO TAKE PLACE ON MARCH 13TH -15TH, 2015 IN HOUSTON, TEXAS.EVENTS:●      ON FRIDAY 13TH OF MARCH, 2015 NETWORKING

●      LUNCH, DINNER, AND DRINKS WILL BE AVAILABLE AT MADIKODIKO LOCATION

BASKETBALL BONANZA LOCATION●      ON SATURDAY 14TH, FROM 10:00A.M TO 5:00 PM, AT 8601 CHIMNEY ROCK ROAD, HOUSTON TEXAS, US.

MUSICBY DJ LUKE
●       NEW, OLD SCHOOL MUSICS, AND THE...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MECHI YA ZANZIBAR HEROES NA KILIMANJARO DMV PATAKUA HAPATOSHI

 Timu ya Zanzibar HeroesTimu ya Kilimanjaro
Mechi ya Muungano itakayochezwa siku ya Jumapili April 26, 2015 katika viwanja vya kisasa tofauti na ile ilipochezewa mwaka jana inasubiliwa kwa hamu hasa na wachezaji wa Zanzibar Heroes ambao wamesema mechi yao ya mwaka jana ushindi ulikuwa wa kwao lakini hujuma zilifanyika katika kupigiana penati ili mpira umalizike kwa ngoma droo.

Katima mechi hiyo iliyokua na upinzani wa hali juu kutoka timu zote mbili iliyoanza kwa timu ya Kilimanjaro kuanza...

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI BASKETBALL REUNION COMING IN HOUSTON


MARCH 14,2015 MORE INFORMATION COMING SOON!!!

 

10 years ago

Michuzi

PAZI BASKETBALL REUNION COMING SOON IN HOUSTON - WATCH THIS SPACE!


MARCH 14,2015 MORE INFORMATION COMING SOON!!!

 

10 years ago

Michuzi

Dar es salaam's PAZI BASKETBALL IN DIASPORA REUNION COMING TO HOUSTON THIS MARCH!

Kikapu kitapigiwa hapa

Wachezaji wakijifua


DAR ES SALAAM'S PAZI BASKETBALL  IN DIASPORA AND ITS FAMILY MEMBERS HAS ORGANIZED A BASKETBALL BONANZA THAT IS SCHEDULED TO TAKE PLACE ON MARCH 13th -15th, 2015 IN HOUSTON, TEXAS.
EVENTS:●      ON FRIDAY 13TH OF MARCH, 2015 NETWORKING●      LUNCH, DINNER, AND DRINKS WILL BE AVAILABLE AT MADIKODIKO LOCATIONBASKETBALL BONANZA LOCATION●      ON SATURDAY 14TH, FROM 10:00A.M TO 5:00 PM, AT 8601 CHIMNEY ROCK ROAD, HOUSTON TEXAS, US.MUSICBY DJ...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha ‘Basketball Kitaa’ leo

>Mashindano ya mchezo wa mpira wa kikapu maarufu kama ‘Basketball Kitaa Chini ya Mataa’ yataendelea leo kwa kuzikutanisha timu ya Next Level dhidi ya A-Talk of Karabani ambapo mshindi ataondoka na Sh2 milioni.

 

9 years ago

Mtanzania

Barani Ulaya hapatoshi leo

e50e9a5f9f7a76e1d4d560c4ce6fc2a7BARCELONA, HISPANIA

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali huku mchezo ambao unatarajiwa kutazamwa na idadi kubwa ya mashabiki ni kati ya Barcelona dhidi ya AS Roma, wakati mchezo mkubwa wa kesho ni kati ya Juventus dhidi ya Manchester City.

Katika kundi E, Barcelona wanaongoza kundi hilo huku wakiwa na pointi 10, wakati wapinzani wake Roma wakiwa na pointi tano, katika mchezo wa leo Roma wanatafuta ushindi ili kuweza kujiweka sawa lakini...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa, NEC hapatoshi leo

SLAANa Arodia Peter, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na vyama vya siasa, leo wanatarajia kukutana katika kikao cha pamoja ambacho kinaweza kuibua hoja kali kutoka miongoni mwa wadau.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Bunge uliotolewa Februari 4, mwaka huu baada ya Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili kuweza kujadili hatua ya NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jangwani Hapatoshi kuanzia leo

Licha ya mamlaka ya hali ya hewa kutangaza mvua kali na upepo na kuwataka watu wasitoke njee.watu wameamua kulala hapo hapo.

The post Jangwani Hapatoshi kuanzia leo appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michuano ya UEFA hapatoshi leo

Kivumbi cha michuano ya Kombe la UEFA, Chelsea na PSG na Borrusia Dortmund dhidi ya Real Madrid

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani