Jangwani Hapatoshi kuanzia leo
Licha ya mamlaka ya hali ya hewa kutangaza mvua kali na upepo na kuwataka watu wasitoke njee.watu wameamua kulala hapo hapo.
The post Jangwani Hapatoshi kuanzia leo appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Michuano ya UEFA hapatoshi leo
10 years ago
Mtanzania12 Feb
Ukawa, NEC hapatoshi leo
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na vyama vya siasa, leo wanatarajia kukutana katika kikao cha pamoja ambacho kinaweza kuibua hoja kali kutoka miongoni mwa wadau.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Bunge uliotolewa Februari 4, mwaka huu baada ya Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili kuweza kujadili hatua ya NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Sikinde, Msondo hapatoshi leo
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Barani Ulaya hapatoshi leo
BARCELONA, HISPANIA
MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali huku mchezo ambao unatarajiwa kutazamwa na idadi kubwa ya mashabiki ni kati ya Barcelona dhidi ya AS Roma, wakati mchezo mkubwa wa kesho ni kati ya Juventus dhidi ya Manchester City.
Katika kundi E, Barcelona wanaongoza kundi hilo huku wakiwa na pointi 10, wakati wapinzani wake Roma wakiwa na pointi tano, katika mchezo wa leo Roma wanatafuta ushindi ili kuweza kujiweka sawa lakini...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba, KCCA hapatoshi leo
9 years ago
Habarileo20 Sep
Simba, Kagera hapatoshi Taifa leo
KIKOSI cha Simba kilitua jijini Dar es Salaam jana kikitokea Tanga tayari kwa kukabiliana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Redd’s Miss Mbagala hapatoshi leo
SHINDANO la kumsaka mnyange wa Redd’s Miss Mbagala, linatarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa shindano hilo,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_kCLWhaQJM8/U6vmODUIsNI/AAAAAAAFtCw/VeHLE1pqh98/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Hapatoshi leo Redd’s Miss Pani 2014
KWA mara ya kwanza kwenye ukumbi wa Maisha Plus (Pilice Mess) kutafanyika tukio la aina yake la kumsaka Redds Miss Pwani 2014 usiku wa leo.
Katika Shindano hilo ambalo litakuwa ndiyo sehemu ya kuuzinduz ukumbi huo ambao leo hii ndiko kutakuwa na burudani kubwa ya muziki wa dansi kutoka katika bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Next level’ wakiongozwa na mzawa wa mkoa wa Pwani Ally Choki almaarufu kama ‘Mwarabu wa Kibaha’ ambao nao wameahidi kutoa burudani ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-t44fsh7plPg/VPF-OOvxTTI/AAAAAAADa8s/h5CJEULuhMs/s72-c/IMG-20150227-WA018.jpg)
PAZI BASKETBALL REUNIO LEO PATAKUA HAPATOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-t44fsh7plPg/VPF-OOvxTTI/AAAAAAADa8s/h5CJEULuhMs/s1600/IMG-20150227-WA018.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-_iyv9lO0DUM%2FVPF-NZSeXfI%2FAAAAAAADa8k%2FxyQS3I_0Yog%2Fs1600%2FDisplaying%252BIMG-20150227-WA017.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ROoNsit2FyE%2FVPGAaQGU2WI%2FAAAAAAADa9E%2FVVtv1wLtgCc%2Fs1600%2FDisplaying%252BIMG-20150227-WA008.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PAZI BASKETBALL AND ITS FAMILY MEMBERS HAS ORGANIZED A BASKETBALL BONANZA THAT IS SCHEDULED TO TAKE PLACE ON MARCH 13TH -15TH, 2015 IN HOUSTON, TEXAS.EVENTS:● ON FRIDAY 13TH OF MARCH, 2015 NETWORKING● LUNCH, DINNER, AND DRINKS WILL BE AVAILABLE AT MADIKODIKO LOCATIONBASKETBALL BONANZA LOCATION● ON SATURDAY 14TH, FROM 10:00A.M TO 5:00 PM, AT 8601 CHIMNEY ROCK ROAD, HOUSTON TEXAS, US.MUSICBY DJ LUKE
● NEW, OLD SCHOOL MUSICS, AND THE...