Simba, KCCA hapatoshi leo
Simba leo itakuwa na kibarua kigumu mbele ya KCCA ya Uganda katika mchezo wa fainali wa Kombe la Mapinduzi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Sep
Simba, Kagera hapatoshi Taifa leo
KIKOSI cha Simba kilitua jijini Dar es Salaam jana kikitokea Tanga tayari kwa kukabiliana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Kilichoiponza Simba kwa KCCA
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Maguli, Kwizera Simba hapatoshi
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Michuano ya UEFA hapatoshi leo
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Barani Ulaya hapatoshi leo
BARCELONA, HISPANIA
MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali huku mchezo ambao unatarajiwa kutazamwa na idadi kubwa ya mashabiki ni kati ya Barcelona dhidi ya AS Roma, wakati mchezo mkubwa wa kesho ni kati ya Juventus dhidi ya Manchester City.
Katika kundi E, Barcelona wanaongoza kundi hilo huku wakiwa na pointi 10, wakati wapinzani wake Roma wakiwa na pointi tano, katika mchezo wa leo Roma wanatafuta ushindi ili kuweza kujiweka sawa lakini...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Sikinde, Msondo hapatoshi leo
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Jangwani Hapatoshi kuanzia leo
Licha ya mamlaka ya hali ya hewa kutangaza mvua kali na upepo na kuwataka watu wasitoke njee.watu wameamua kulala hapo hapo.
The post Jangwani Hapatoshi kuanzia leo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mtanzania12 Feb
Ukawa, NEC hapatoshi leo
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na vyama vya siasa, leo wanatarajia kukutana katika kikao cha pamoja ambacho kinaweza kuibua hoja kali kutoka miongoni mwa wadau.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Bunge uliotolewa Februari 4, mwaka huu baada ya Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili kuweza kujadili hatua ya NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Redd’s Miss Mbagala hapatoshi leo
SHINDANO la kumsaka mnyange wa Redd’s Miss Mbagala, linatarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa shindano hilo,...