Simba, Kagera hapatoshi Taifa leo
KIKOSI cha Simba kilitua jijini Dar es Salaam jana kikitokea Tanga tayari kwa kukabiliana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s72-c/download%2B(2).jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s1600/download%2B(2).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s640/8.jpg)
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/mr.png)
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba, KCCA hapatoshi leo
Simba leo itakuwa na kibarua kigumu mbele ya KCCA ya Uganda katika mchezo wa fainali wa Kombe la Mapinduzi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Simba, Kagera vita mpya Taifa
Baada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba na Kagera Sugar.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s72-c/2.jpg)
Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s1600/2.jpg)
Mabingwa hao wa zamani katika...
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Maguli, Kwizera Simba hapatoshi
>Safu ya ushambuliaji ya Simba imeimarika baada ya kumsajili mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Elias Maguli pamoja na kuwasili kwa kiungo Mrundi Pierre Kwizera (23) jana mchana.
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi. Abdi Banda wa Simba (kulia) akiondoka na mpira huku akikabwa na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga.…
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
11 years ago
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania