Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSimba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
Kagera Sugar FCSimba FCNa Sultani KipingoBaada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, vumbi la Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kutimka tena kuanzia leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba SC na Kagera Sugar FC. Simba ambayo imelitumia vyema dirisha dogo la usajili kwa kufanya usajili wa baadhi ya nyota kuimarisha kikosi chao itaivaa Kagera ikitokea Zanzibar ilipokuwa imeweka kambi yao tangu Jumapili...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo
Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.
11 years ago
MichuziSIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO
Kikosi cha Timu ya Soka ya Simba
Kikosi cha Timu ya Soka ya Mtibwa
Waamuzi wa Mchezo wa Leo wakiwa na Manaodha wa Timu Zote Mbili.
Wachezaji wa Timu ya Soka ya Mtibwa Sugar Wkishanilia Goli Lililofungwa na Musa Mgosi Katika Dakika ya 18 ya Mchezo.
Rashid Baba Ubaya Akitafuta Mbinu za Kumtoka Beki wa Mtibwa Sugar Said Mkopi.
Kipa wa Mtibwa Hasani Sharifu
Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo huo wakishangilia muda wote wa Mchezo
Golikipa wa Timu ya Mtibwa Sugar Hussein...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba
SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...
11 years ago
GPLMTIBWA SUGAR, SIMBA KUUMANA MOROGORO
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 16 kesho (Februari 5 mwaka huu) kwa mechi tano huku Mtibwa Sugar ikiikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kiingilio katika mechi hiyo ambayo itakuwa ya kwanza kuchezwa kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 10,000 tangu uanze mzunguko wa pili wa VPL kitakuwa sh. 5,000. Jonisia Rukyaa kutoka Bukoba ndiye atakayechezesha...
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
HATIMAYE ubishi wa timu ya Mtibwa na wekundu wa msimbazi Simba umemalizika leo hii uwanja wa taifa baada ya kuchoshana nguvu kwa kufungana sare ya 1-1. Matokeo hayo, yanaiongezea Simba na kufikisha pointi 31 kibindoni na kupanda nafasi ya tatu, sawa na Vinara Mbeya city wenye pointi 31. Mfungaji wa Simba ni Hamisi Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili na Mtibwa Sugar ni Hasani Mgosi dakika ya 40 kipindi cha kwanza. ...
10 years ago
TheCitizen12 Jan
SOCCER: Simba wary of Mtibwa Sugar threat
>Simba SC head coach Goran Kopunovic is aware that they will face a stern test when they play Mtibwa Sugar at the Amaan Stadium tomorrow.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania