Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba
SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo
Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
HATIMAYE ubishi wa timu ya Mtibwa na wekundu wa msimbazi Simba umemalizika leo hii uwanja wa taifa baada ya kuchoshana nguvu kwa kufungana sare ya 1-1. Matokeo hayo, yanaiongezea Simba na kufikisha pointi 31 kibindoni na kupanda nafasi ya tatu, sawa na Vinara Mbeya city wenye pointi 31. Mfungaji wa Simba ni Hamisi Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili na Mtibwa Sugar ni Hasani Mgosi dakika ya 40 kipindi cha kwanza. ...
11 years ago
GPLMTIBWA SUGAR, SIMBA KUUMANA MOROGORO
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 16 kesho (Februari 5 mwaka huu) kwa mechi tano huku Mtibwa Sugar ikiikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kiingilio katika mechi hiyo ambayo itakuwa ya kwanza kuchezwa kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 10,000 tangu uanze mzunguko wa pili wa VPL kitakuwa sh. 5,000. Jonisia Rukyaa kutoka Bukoba ndiye atakayechezesha...
10 years ago
TheCitizen12 Jan
SOCCER: Simba wary of Mtibwa Sugar threat
>Simba SC head coach Goran Kopunovic is aware that they will face a stern test when they play Mtibwa Sugar at the Amaan Stadium tomorrow.
10 years ago
Vijimambo10 Jan
SIMBA, MTIBWA SUGAR ZAKUTANA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/IMG_4303.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho
>Simba imeondoka jana Dar es Salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa pambano lake la Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Mtibwa Sugar, Prison, Azam waishangaa Simba kutofuata taratibu za usajili
Klabu za Mtibwa Sugar na Prisons zimeutaka uongozi wa Simba ya Dar es Salaam ufuate utaratibu kama unataka kuwasajili baadhi ya wachezaji wao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania