Mtibwa Sugar, Prison, Azam waishangaa Simba kutofuata taratibu za usajili
Klabu za Mtibwa Sugar na Prisons zimeutaka uongozi wa Simba ya Dar es Salaam ufuate utaratibu kama unataka kuwasajili baadhi ya wachezaji wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Azam yaichakaza Mtibwa Sugar
10 years ago
MichuziAzam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGhFnOej60udUkCqu-hyZsrPt-tFNa5HIc7HMEgAYwQlau*DoYnOSrKy0evdMyFeWaLsTnFFJJ4T2JEg3RXhId5/10copy.jpg?width=750)
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba
SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo
11 years ago
GPLMTIBWA SUGAR, SIMBA KUUMANA MOROGORO
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10