SIMBA, MTIBWA SUGAR ZAKUTANA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
Wachezaji wa Simba wakishangilia baoWEKUNDU wa Msimbazi Simba wametinga fainali ya kombe la Mapinduzi kufuatia kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Polisi katika mechi wa nusu fainali ya kombe hilo iliyomalizika usiku huu uwanja wa Amaan Zanzibar.MABINGWA wa zamani wa Tanzania mara mbili mfululizo, 1999 na 2000, Mtibwa Sugar ya Morogoro wametinga fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2015 kufuatia kuitandika JKU ya Zanzibar penalti 4-3. Credit:ShaffihDauda
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSIMBA NA MTIBWA KOMBE LA MAPINDUZI KATIKA PICHA
10 years ago
GPL11 years ago
GPLHALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Mtibwa Sugar yajisafishia njia Mapinduzi
5 years ago
StarTV19 Feb
Mtibwa Sugar yaiondosha Polisi Moro kombe la FA
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba
SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo
11 years ago
GPLMTIBWA SUGAR, SIMBA KUUMANA MOROGORO