Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtibwa Sugar yajisafishia njia Mapinduzi

Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mafunzo umeihakikishia Mtibwa Sugar nafasi ya kusonga mbele kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIMBA, MTIBWA SUGAR ZAKUTANA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

Wachezaji wa Simba wakishangilia baoWEKUNDU wa Msimbazi Simba wametinga fainali ya kombe la Mapinduzi kufuatia kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Polisi katika mechi wa nusu fainali ya kombe hilo iliyomalizika usiku huu uwanja wa Amaan Zanzibar.MABINGWA wa zamani wa Tanzania mara mbili mfululizo, 1999 na 2000, Mtibwa Sugar ya Morogoro wametinga fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2015 kufuatia kuitandika JKU ya Zanzibar penalti 4-3. Credit:ShaffihDauda

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa Sugar yaichapa Mafunzo

TIMU ya soka ya Mtibwa Sugar jana ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mafunzo katika muendelezo wa mechi za michuano ya kombe la Mapinduzi inayofanyika kwenye uwanja wa Amani mjini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtibwa Sugar kambini kesho

TIMU ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani mkoani Morogoro, inatarajiwa kuingia kambini kesho kujiwinda na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtibwa ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa nafasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yaichakaza Mtibwa Sugar

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Azam wamelizamisha jahazi la Mtibwa Sugar kwa kuichapa mabao 5-2 jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'

Wakati timu nyingine zikijizatiti kuimarisha vikosi vyao kwa kufanya usajili nje ya nchi, imekuwa tofauti kwa kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, ameweka wazi kuwa hana mpango na wachezaji wa nje ya Tanzania.

 

11 years ago

GPL

SIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR

HATIMAYE ubishi wa timu ya Mtibwa na wekundu wa msimbazi Simba umemalizika leo hii uwanja wa taifa baada ya kuchoshana nguvu kwa kufungana sare ya 1-1. Matokeo hayo, yanaiongezea Simba na kufikisha pointi 31 kibindoni na kupanda  nafasi ya tatu, sawa na  Vinara Mbeya city wenye pointi 31. Mfungaji wa Simba ni Hamisi Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili na Mtibwa Sugar ni Hasani Mgosi dakika ya 40 kipindi cha kwanza. ...

 

10 years ago

GPL

MTIBWA SUGAR WATINGA OFISI ZA GLOBAL

Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) akiongea na wachezaji wa timu ya Mtibwa Sugar walipotembelea ofisi ya Global Publishers zilizopo Bamaga Mwenge jijini Dar. Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (katikati) akipeana mkono na msemaji wa timu ya Mtibwa, Thobias Kifaru (kulia).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani