Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTIBWA SUGAR WATINGA OFISI ZA GLOBAL

Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) akiongea na wachezaji wa timu ya Mtibwa Sugar walipotembelea ofisi ya Global Publishers zilizopo Bamaga Mwenge jijini Dar. Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (katikati) akipeana mkono na msemaji wa timu ya Mtibwa, Thobias Kifaru (kulia).…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yaichakaza Mtibwa Sugar

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Azam wamelizamisha jahazi la Mtibwa Sugar kwa kuichapa mabao 5-2 jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtibwa Sugar kambini kesho

TIMU ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani mkoani Morogoro, inatarajiwa kuingia kambini kesho kujiwinda na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtibwa ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa nafasi...

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa Sugar yaichapa Mafunzo

TIMU ya soka ya Mtibwa Sugar jana ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mafunzo katika muendelezo wa mechi za michuano ya kombe la Mapinduzi inayofanyika kwenye uwanja wa Amani mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

MTIBWA SUGAR, SIMBA KUUMANA MOROGORO

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 16 kesho (Februari 5 mwaka huu) kwa mechi tano huku Mtibwa Sugar ikiikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kiingilio katika mechi hiyo ambayo itakuwa ya kwanza kuchezwa kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 10,000 tangu uanze mzunguko wa pili wa VPL kitakuwa sh. 5,000. Jonisia Rukyaa kutoka Bukoba ndiye atakayechezesha...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo

Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'

Wakati timu nyingine zikijizatiti kuimarisha vikosi vyao kwa kufanya usajili nje ya nchi, imekuwa tofauti kwa kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, ameweka wazi kuwa hana mpango na wachezaji wa nje ya Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba

SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yajisafishia njia Mapinduzi

Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mafunzo umeihakikishia Mtibwa Sugar nafasi ya kusonga mbele kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani