Simba, Kagera vita mpya Taifa
Baada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba na Kagera Sugar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s72-c/2.jpg)
Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s1600/2.jpg)
Mabingwa hao wa zamani katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s72-c/download%2B(2).jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s1600/download%2B(2).jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
9 years ago
Habarileo20 Sep
Simba, Kagera hapatoshi Taifa leo
KIKOSI cha Simba kilitua jijini Dar es Salaam jana kikitokea Tanga tayari kwa kukabiliana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s72-c/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s640/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s640/8.jpg)
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/mr.png)
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tuwakumbuke walemavu waliopigana vita ya Kagera
IKIWA mwaka huu inatimia miaka 35 tangu kumalizika vita ya Kagera, baadhi ya wanajeshi waliopigana vita hiyo na kupata ulemavu wanadai serikali imewatelekeza. Vita hiyo iliyopiganwa mwaka 1978 hadi 1979...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Simba yaiendea gym Kagera SC