Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
Simba inaikabili Mbeya City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika Kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na inatakiwa kushinda mchezo huo ili kufufua matumaini ya kuwania ubingwa msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
.jpg)
10 years ago
Michuzi
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO



10 years ago
Mwananchi26 Dec
Simba, Kagera vita mpya Taifa
Baada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba na Kagera Sugar.
10 years ago
GPL
SIMBA YACHAPWA NA MBEYA CITY TAIFA
Simba SC wakimenyana na Mbeya City katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. (Picha na Maktaba Yetu)
SIMBA SC imeendelea kupoteza michezo yake hasa ya nyumbani baada ya leo kukubali tena kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City. Mechi hiyo ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) imepigwa muda mfupi uliopita katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba hivi karibuni ilipoteza mechi yake ya nyumbani baada ya kupigwa na Kagera Sugar kwenye...
10 years ago
Michuzi
Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii

Mabingwa hao wa zamani katika...
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi. Abdi Banda wa Simba (kulia) akiondoka na mpira huku akikabwa na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga.…
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
11 years ago
Michuzi
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0


11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo
Mbeya. Mbeya City imeichakaza Rhino Rangers kwa mabao 3-1 Â jana kwenye Uwanja wa Sokoine, wakati ndugu zao wa Tanzania Prisons, leo wataivaa Simba kwenye uwanja huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania