Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaiendea gym Kagera SC

Timu ya Simba imeanza kambi ya wazi jana tayari kuikabili Kagera Sugar Desemba 28, huku kocha mkuu, Patrick Phiri akionekana kunogewa na mazoezi ya gym.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Simba yaiendea Azam Zanzibar

TIMU ya Simba imesema kuwa inatarajia kuweka kambi Zanzibar kuanzia wiki ijayo kwa ajili ya maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya vinara wa Ligi Azam FC utakaochezwa Desemba 12 mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, Yanga zageukia gym

WAKATI kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba kikianza mazoezi gym jana kujiandaa na Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 20, Yanga nao wameanza mazoezi hayo jana. Akizungumza na...

 

9 years ago

GPL

SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1

TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar

Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Kagera vita mpya Taifa

Baada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba na Kagera Sugar.

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Kagera hapatoshi Taifa leo

KIKOSI cha Simba kilitua jijini Dar es Salaam jana kikitokea Tanga tayari kwa kukabiliana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi

Kagera Sugar inaanza mazoezi yake kesho kujiandaa na Ligi Kuu, lakini imewaambia Simba kuwa itawasambaratisha katika mchezo baina yao.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Simba eye Kagera Sugar scalp

>After a three-month lull, the Mainland Premier League resumes today with one match on the menu at the National Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani