Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar

Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1

TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...

 

10 years ago

Mwananchi

Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi

Kagera Sugar inaanza mazoezi yake kesho kujiandaa na Ligi Kuu, lakini imewaambia Simba kuwa itawasambaratisha katika mchezo baina yao.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Simba eye Kagera Sugar scalp

>After a three-month lull, the Mainland Premier League resumes today with one match on the menu at the National Stadium.

 

10 years ago

Michuzi

Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo

Kagera Sugar FCSimba FCNa Sultani KipingoBaada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, vumbi la Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kutimka tena kuanzia leo kwa pambano moja litakalochezwa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha Simba SC na Kagera Sugar FC. Simba ambayo imelitumia vyema dirisha dogo la usajili kwa kufanya usajili wa baadhi ya nyota kuimarisha kikosi chao itaivaa Kagera ikitokea Zanzibar ilipokuwa imeweka kambi yao tangu Jumapili...

 

9 years ago

Habarileo

‘Yanga kuifunga Simba’

MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kagera Sugar kuteseka Bara

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 itaanza keshokutwa huku ratiba ya ligi hiyo ikizipa nafasi za kusafiri umbali mfupi zaidi timu za Ruvu Shooting, Azam na Yanga wakati Kagera Sugar, Mbeya City, Polisi Morogoro na Stand United ndizo zitakazosafiri umbali mrefu zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani