SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi
10 years ago
TheCitizen26 Dec
SOCCER: Simba eye Kagera Sugar scalp
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s72-c/download%2B(2).jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s1600/download%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi13 Oct
KAGERA WAANZA VYEMA COPA COCA COLA 2014, WAICHAPA GEITA BAO 2-0 KATIKA UWANJA WA KAITABA LEO
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1