Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi
Kagera Sugar inaanza mazoezi yake kesho kujiandaa na Ligi Kuu, lakini imewaambia Simba kuwa itawasambaratisha katika mchezo baina yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-kdFIA3UfmwM/Ur6eXnUZkWI/AAAAAAAApAs/h8G5rQjoeT4/s1600/Kagera+Sugar.jpg?width=650)
KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI RASMI JANUARI 2
KLABU ya Kagera Sugar inaingia kambini desemba 31 mwaka huu, lakini mazoezi yataanza rasmi januari pili mwakani kujiwinda na mzunguko wa pili ligi kuu soka Tanzania bara unaotarajia kuanza kushika kasi januari 25, 2014. Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage Kabange ameuambia mtandao huu kuwa nia yao ni kurejesha makali yao kama msimu uliopita. “Mipango ya kambi imekamilika, mimi na kocha mkuu Jackson Mayanja tunajiandaa...
10 years ago
Michuzi17 Oct
STAND UNITED WATUA BUKOBA! WAFANYA MAZOEZI KAITABA TAYARI KWA KUUMANA NA KAGERA SUGAR KESHO JUMAMOSI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10583691_759981900716628_391321009_o.jpg?oh=0a663ae19873be7095493129e5d8aeaa&oe=544412B1&__gda__=1413683948_3a3ca56330ce4378cf5977d11e5cdf58)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10683387_759981660716652_182496425_o.jpg?oh=08011a7958b8a0ccec011abd4d9ee4c1&oe=5443234C&__gda__=1413699859_31695e5e8d735fa172095eb82b7663cc)
Na Faustine Ruta, BukobaJumla ya wachezaji 26 wa Timu ya Stand United ya Shinyanga wametua mjini Bukoba leo kwa ajili ya kipute cha Ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2014-15 na wenyeji wao Kagera Sugar wamefanya mazoezi yao kwa mara ya kwanza Kagera kwenye Uwanja wa Kaitaba.Wachezaji hao, wakiongozwa na Kocha Mkuu Emmanuel...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.
10 years ago
TheCitizen26 Dec
SOCCER: Simba eye Kagera Sugar scalp
>After a three-month lull, the Mainland Premier League resumes today with one match on the menu at the National Stadium.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s72-c/download%2B(2).jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s1600/download%2B(2).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania