KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI RASMI JANUARI 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-kdFIA3UfmwM/Ur6eXnUZkWI/AAAAAAAApAs/h8G5rQjoeT4/s1600/Kagera+Sugar.jpg?width=650)
KLABU ya Kagera Sugar inaingia kambini desemba 31 mwaka huu, lakini mazoezi yataanza rasmi januari pili mwakani kujiwinda na mzunguko wa pili ligi kuu soka Tanzania bara unaotarajia kuanza kushika kasi januari 25, 2014. Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage Kabange ameuambia mtandao huu kuwa nia yao ni kurejesha makali yao kama msimu uliopita. “Mipango ya kambi imekamilika, mimi na kocha mkuu Jackson Mayanja tunajiandaa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi
10 years ago
Michuzi17 Oct
STAND UNITED WATUA BUKOBA! WAFANYA MAZOEZI KAITABA TAYARI KWA KUUMANA NA KAGERA SUGAR KESHO JUMAMOSI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10583691_759981900716628_391321009_o.jpg?oh=0a663ae19873be7095493129e5d8aeaa&oe=544412B1&__gda__=1413683948_3a3ca56330ce4378cf5977d11e5cdf58)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10683387_759981660716652_182496425_o.jpg?oh=08011a7958b8a0ccec011abd4d9ee4c1&oe=5443234C&__gda__=1413699859_31695e5e8d735fa172095eb82b7663cc)
Na Faustine Ruta, BukobaJumla ya wachezaji 26 wa Timu ya Stand United ya Shinyanga wametua mjini Bukoba leo kwa ajili ya kipute cha Ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2014-15 na wenyeji wao Kagera Sugar wamefanya mazoezi yao kwa mara ya kwanza Kagera kwenye Uwanja wa Kaitaba.Wachezaji hao, wakiongozwa na Kocha Mkuu Emmanuel...
9 years ago
MichuziCosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3Y1_zNA0OgY/VXDSLZ0-kKI/AAAAAAAC5mU/JCCTr3Y-x3w/s72-c/7.jpg)
MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WAWASILI WILAYANI KAHAMA USIKU HUU KWA BASI,KESHO KUANZA RASMI ZIARA YA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3Y1_zNA0OgY/VXDSLZ0-kKI/AAAAAAAC5mU/JCCTr3Y-x3w/s640/7.jpg)
Ndugu Kinana...
10 years ago
VijimamboTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANZIA MEI 21 HADI JUNI 18, 2015
Zoezi la uzinduzi litaongozwa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Mhe. John Mongella katika mtaa wa Pwani eneo la uwanja wa ndege wa Bukoba kata ya Miembeni Manispaa ya Bukoba. Uzinduzi huo utafanyika katika Halmashauri zote za wilaya siku hiyo ya...
10 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANA KESHO MEI 21, 2015 HADI JUNI 18, 2015
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Kagera Sugar kuteseka Bara
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s72-c/_MG_5505.jpg)
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s640/_MG_5505.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwES7MjFZOk/VoAQaFikPFI/AAAAAAABmMo/LERi7NqCYDM/s640/_MG_5506.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zX0mhPjqA1Q/VoAQab_7LYI/AAAAAAABmMs/3m9zxtdX7cE/s640/_MG_5507.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LFu0R4FpO_U/VoAQskQOIxI/AAAAAAABmNI/NGCzmcrw6jU/s640/_MG_5512.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UJ1C0Zy3YTY/VoAQxOKlv_I/AAAAAAABmNY/2_zgXvK2gBI/s640/_MG_5530.jpg)