Kagera Sugar kuteseka Bara
Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 itaanza keshokutwa huku ratiba ya ligi hiyo ikizipa nafasi za kusafiri umbali mfupi zaidi timu za Ruvu Shooting, Azam na Yanga wakati Kagera Sugar, Mbeya City, Polisi Morogoro na Stand United ndizo zitakazosafiri umbali mrefu zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto
Miezi 15 iliyopita, klabu ya Kagera Sugar yenye makazi yake katika mkoa anaotoka Rais wa TFF, Jamal Malinzi ilishika nafasi ya tano ikiwa na pointi 38. Pia, miezi miwili iliyopita imemaliza nafasi ya sita ikiwa ikiwa na pointi 32.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Phiri awagwaya Kagera Sugar
Kocha wa Simba, Patrick Phiri ameingiwa na mchecheto na mechi yao dhidi ya Kagera Sugar itakayochezwa leo na kudai mchezo huo utakuwa mgumu, lakini anaamini atapata pointi tatu.
9 years ago
MichuziKAGERA SUGAR YAIBUKA MSHINDI WA 1-0
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kulia) akikwaana na beki wa Kagera Sugar. Baadhi ya wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni: Simon Msuva, Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa na Oscar Joshua wakishangila ushindi wa leo dhidi ya Kagera Sugar.…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s72-c/_MG_5505.jpg)
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s640/_MG_5505.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwES7MjFZOk/VoAQaFikPFI/AAAAAAABmMo/LERi7NqCYDM/s640/_MG_5506.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zX0mhPjqA1Q/VoAQab_7LYI/AAAAAAABmMs/3m9zxtdX7cE/s640/_MG_5507.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LFu0R4FpO_U/VoAQskQOIxI/AAAAAAABmNI/NGCzmcrw6jU/s640/_MG_5512.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UJ1C0Zy3YTY/VoAQxOKlv_I/AAAAAAABmNY/2_zgXvK2gBI/s640/_MG_5530.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi
Kagera Sugar inaanza mazoezi yake kesho kujiandaa na Ligi Kuu, lakini imewaambia Simba kuwa itawasambaratisha katika mchezo baina yao.
10 years ago
TheCitizen26 Dec
SOCCER: Simba eye Kagera Sugar scalp
>After a three-month lull, the Mainland Premier League resumes today with one match on the menu at the National Stadium.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania