KAGERA SUGAR YAIBUKA MSHINDI WA 1-0
Kikosi kazi cha Timu ya Mbeya City fc kikiongwozwa na Gorikipa mahiri Juma Kaseja katika picha waki mwomba Mwenyezi munu kabla ya kuanza Mtanange, ambapo Kagera Sugar iliibuka mshindi kwa kuitundika Mbeya City fc Gori Moja kwa bila (1,0) Dakika ya 41, Mchezaji Poul Ngaiyoma Jezi Nambari 8, Mgongoni kuipatia ushindi Timu ya Kagera Sugar katika Mechi ya Kwanza Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara Mtanange ulio chezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Juma Kaseja Jezi Nambari Moja Mgongoni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Phiri awagwaya Kagera Sugar
11 years ago
Mwananchi18 Sep
Kagera Sugar kuteseka Bara
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
10 years ago
GPL
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
9 years ago
Michuzi
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0





10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Manispaa ya Kinondoni yaibuka mshindi wa jumla tuzo ya Meya 2015
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda.
… zilzioandaliwa na ALAT
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Manispaa ya Kinondoni ya Jijini Dar es salaam imeibuka mshindi wa wa Jumla ya kwenye tuzo zilzioandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) katika kutimiza miaka 30 ya ALAT kwenye mkutano wa 31 wa Jumuiya hiyo unaoendelea jijini Dar es Salaam.
Katika halfa hiyo ya tuzo ambapo Rais Jakaya Kikwete alikuwa mgeni rasmi, uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ALAT, pamoja na wadau...
11 years ago
GPLYANGA SC YAPIGWA NA KAGERA SUGAR KAITABA LEO
10 years ago
Daily News25 Jan
Fire guts down 20 houses at Kagera Sugar estates
Daily News
TWENTY houses at Kagera Sugar estates in Misenyi District were on Friday afternoon completely gutted down following an electrical fault, causing loss estimated at 100m/-. An engineer at KSL, Mr Khamis Madaki, told reporters here that the fire started at ...