YANGA SC YAPIGWA NA KAGERA SUGAR KAITABA LEO
BAO pekee la kiungo Paul Ngway, dakika ya 52 jioni ya leo limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga SC ilimaliza mchezo huo pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na refa Abdallah Kambuzi wa Shinyanga, baada ya kumpiga kichwa Rashid Mandawa wa Kagera. Baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Feb
RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qt2RfWOiZ2SFt_6HASeEmRtH9TWt-qdjE4r9FX7MJ6sqqTOWzuzKwjpgS6QkW6o44_H-63DUNKAaDEq_5S-JOGwCCp8xEno8IMMPrUGDsHWNhIr5LXpvA14PtdznpCY_hUKLjm31Cx5BlLv0Y2jIiq-vP5s-KdeAxJR5W2PuB4B7hUVeROITB-_Ia8134XeSdVLtjjEZe625c9eDqmEEsLlJSOrm60VhMxuqkLis7yJxXPVdhI8nf4JHlj0BOn5OnQVHFSFAWOPn9O0tmdnh2DDapCsWoKZejbQ4kWWLfBazJtAXdwYSBoTgoljTK87RsFaIQ6Or0E81=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-furbhstlGzE%2FUwdtHr4umZI%2FAAAAAAAAUQA%2FNh8JmgQgriw%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/EGBYRGiwy_8dOpk3HQh6w-ikVzbPcgCabxFFrV2_z_QGupxGPMKOBkJjB36UiYzXR6WfqJ1IXp8iQBpDqNoo-4KJRYBYdoKWL78xZ-4wQUHcx9Km174MkSSUaqplMI5Fz4cmJJ_jxoj_edWqT2pmCpIkPnSoetrxLUsFXZBx124RF96nHXPbfDsxb8CcxjllnQ_0emMbLBDTcdl6Kl5cQjD5CYKg6uoKDt-GMntff-jxfAKhfRY4UgLmeK4xX_Pk5G8qtNP7LwJxSvLscNb3kVNtOjhreufsp6wIEpF39yLNge-AMuOrqB_7sQQVV_2jGLFIY-XFd8bLyw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-BVzX_kjHXBE%2FUwdtcK7VmpI%2FAAAAAAAAUQM%2Fs3vU023xiK0%2Fs1600%2F1a.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xDQaKJfisicVqIEH-nYvIMpQKYKzYjN2c9NlKGd9xnky0RXZww33N1bck5aPc7Pczanhcnl0hZGLWas-Ey7UMApZB1kFUnNhABpYlTynXEpNlYRx-muwKVD-vBEd-J-5XbqQ0RriYXk5X8ASx12Fpa_wAUs6DkfWEwNv1t4ZaYunvCw02XTFKaw4Svq2CEJ1-sY-zT3RgdYbqu1Vbw1qf2xFud7PoHlnPZDlrwGJY3_v3S5OEGdTsLJAgRFb9Ij_x61-VUWHRiIQQ9noFH4Fv6dgHnBrJMy5Urj8fUGi85vNV7KoDqJicZYWh2UkegxhNXsPBs-Mj1Ob=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-uplZTsnXpfE%2FUwdtcaAT6GI%2FAAAAAAAAUQQ%2F83k_p53A8XY%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi17 Oct
STAND UNITED WATUA BUKOBA! WAFANYA MAZOEZI KAITABA TAYARI KWA KUUMANA NA KAGERA SUGAR KESHO JUMAMOSI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10583691_759981900716628_391321009_o.jpg?oh=0a663ae19873be7095493129e5d8aeaa&oe=544412B1&__gda__=1413683948_3a3ca56330ce4378cf5977d11e5cdf58)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10683387_759981660716652_182496425_o.jpg?oh=08011a7958b8a0ccec011abd4d9ee4c1&oe=5443234C&__gda__=1413699859_31695e5e8d735fa172095eb82b7663cc)
Na Faustine Ruta, BukobaJumla ya wachezaji 26 wa Timu ya Stand United ya Shinyanga wametua mjini Bukoba leo kwa ajili ya kipute cha Ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2014-15 na wenyeji wao Kagera Sugar wamefanya mazoezi yao kwa mara ya kwanza Kagera kwenye Uwanja wa Kaitaba.Wachezaji hao, wakiongozwa na Kocha Mkuu Emmanuel...
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2xT90QEpaZc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Nov
YANGA YAKUNG'UTWA NA KAGERA SUGAR BAO MOJA KWA NUNGE
Na Faustine Ruta, BukobaKlabu ya Dar es salaam Young Afrika imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao Kagera Sugar kwenye mchezo uliopigwa ndani ya Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba.Kipindi cha kwanza Timu zote mbili zilimaliza bila ya kufungana, Kipindi cha pili Kagera Sugar walitumia faida ya kucheza nyumbani na kufanikiwa kupata bao lililofungwa kiufundi na paul...
10 years ago
Michuzi13 Oct
KAGERA WAANZA VYEMA COPA COCA COLA 2014, WAICHAPA GEITA BAO 2-0 KATIKA UWANJA WA KAITABA LEO
11 years ago
Michuzi15 Mar
kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba
Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar. Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...