RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR
Na Faustine Ruta, Bukoba
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 19 kesho (Februari 22 mwaka huu) kwa mechi tano zitakazochezwa katika miji ya Dar es Salaam, Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha.
Kocha wa Rhino Rangers
Wachezaji wa Timu ya Rhino Rangers kutoka Tabora wakifanya mazoezi yao ya mwisho kwenye Uwanja wa Kaitaba jioni hii, Kesho Kuwakabili Wenyeji Kagera Sugar. Rhino Rangers ambao wanashika nafasi ya mkiani mwa ligi hiyo pendwa ya Vodacom...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Oct
STAND UNITED WATUA BUKOBA! WAFANYA MAZOEZI KAITABA TAYARI KWA KUUMANA NA KAGERA SUGAR KESHO JUMAMOSI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10583691_759981900716628_391321009_o.jpg?oh=0a663ae19873be7095493129e5d8aeaa&oe=544412B1&__gda__=1413683948_3a3ca56330ce4378cf5977d11e5cdf58)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10683387_759981660716652_182496425_o.jpg?oh=08011a7958b8a0ccec011abd4d9ee4c1&oe=5443234C&__gda__=1413699859_31695e5e8d735fa172095eb82b7663cc)
Na Faustine Ruta, BukobaJumla ya wachezaji 26 wa Timu ya Stand United ya Shinyanga wametua mjini Bukoba leo kwa ajili ya kipute cha Ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2014-15 na wenyeji wao Kagera Sugar wamefanya mazoezi yao kwa mara ya kwanza Kagera kwenye Uwanja wa Kaitaba.Wachezaji hao, wakiongozwa na Kocha Mkuu Emmanuel...
11 years ago
Michuzi23 Feb
KAGERA SUGAR YASHINDA RHINO RANGERS 1- 0, SELEMAN KIBUTA AITUNGUA RHINO AKITOKEA BENCHI
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
10 years ago
GPLYANGA SC YAPIGWA NA KAGERA SUGAR KAITABA LEO
10 years ago
Michuzi15 Aug
WASANII WATUA BUKOBA TAYARI KWA UFUNGUZI WA FIESTA 2014 LEO UWANJA WA KAITABA
11 years ago
Michuzi15 Mar
kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba
Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar. Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AWASILI MJINI BUKOBA MKOA WA KAGERA JIONI HII KUWASHA MWENGE WA UHURU KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s1600/1A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4Mp0kcwVrk/U2KxxsxxibI/AAAAAAAFefA/mkQUa_04_wc/s1600/2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2IxtwK9lpC1KxlR4SCQuRziiy0aCLhP0xEZmvrJwV4r5aYEC8ziDizEl*JHxZww2J6pwpLKqLJ99VvObkoW3*eK/MECHI2.jpg?width=650)
SIMBA 1, RHINO RANGERS 0
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10