TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
Taswira ya Uwanja wa Kaitabaulivyo kwa sasa.
Nyasi bandia zikiwa zimewekwa pembeni ya Uwanja tayari kwa kutandikwa katika Uwanja huo
Mwakilishi kutoka shirikisho la soka Duniani (FIFA) baada ya kukagua maendeleo ya uwekaji nyasi bandi katika uwanja wa mpira wa Kaitaba Amewaomba mafundi kuongeza kasi ili ukamilike kwa muda uliopangwa. Mwakilishi huyo wa FIFA Mhandisi Kelvin Macklain, alitua Bukoba wiki iliyopita na kukagua hatua kwa hatua uwanja huo na alifika hapo kukagua hatua za mwisho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SkIX1gkn0mQ/Vn-za8DdrRI/AAAAAAAIO18/8a3PEL4hxms/s72-c/1c6458a30aa25a8d77d5a6203077eeb7.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Malinzi atembelea Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba
10 years ago
Michuzi07 Dec
mashindano ya biblia yafanyika uwanja wa kaitaba leo mjini Bukoba
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Vzd0bdA56Aw%2FVIQaSA9tziI%2FAAAAAAAAYcw%2FCMRTMBGTM78%2Fs1600%2F10576868_783456471702504_1244433619_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PJ85noR32U%2FVIQaYXaSK9I%2FAAAAAAAAYdY%2F0UXMvsQJAr0%2Fs1600%2F10844541_783456441702507_707133171_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi24 Jan
RAIS WA TFF JAMAL EMIL MALINZI ATEMBELEA UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA
10 years ago
Michuzi17 Oct
STAND UNITED WATUA BUKOBA! WAFANYA MAZOEZI KAITABA TAYARI KWA KUUMANA NA KAGERA SUGAR KESHO JUMAMOSI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10583691_759981900716628_391321009_o.jpg?oh=0a663ae19873be7095493129e5d8aeaa&oe=544412B1&__gda__=1413683948_3a3ca56330ce4378cf5977d11e5cdf58)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10683387_759981660716652_182496425_o.jpg?oh=08011a7958b8a0ccec011abd4d9ee4c1&oe=5443234C&__gda__=1413699859_31695e5e8d735fa172095eb82b7663cc)
Na Faustine Ruta, BukobaJumla ya wachezaji 26 wa Timu ya Stand United ya Shinyanga wametua mjini Bukoba leo kwa ajili ya kipute cha Ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2014-15 na wenyeji wao Kagera Sugar wamefanya mazoezi yao kwa mara ya kwanza Kagera kwenye Uwanja wa Kaitaba.Wachezaji hao, wakiongozwa na Kocha Mkuu Emmanuel...
10 years ago
Michuzi13 Jan
UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA WAANZA KUPIGWA SOP SOP
Rais wa TFF, Jamal Malinzi alisema kuwa kutokana na ukarabati huo tayari Kagera Sugar imeshaomba kutumia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa ajili ya mechi zake za nyumbani. Katika hatua nyingine, Malinzi alisema kutokana na kikao cha Kamati ya Utendaji cha FIFA kilichokutana hivi karibuni kiliweka wazi kila Mwanachama wa FIFA ataendelea kupata dola za kimalekani 600,000...
11 years ago
Michuzi15 Aug
WASANII WATUA BUKOBA TAYARI KWA UFUNGUZI WA FIESTA 2014 LEO UWANJA WA KAITABA
11 years ago
Michuzi21 Feb
RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qt2RfWOiZ2SFt_6HASeEmRtH9TWt-qdjE4r9FX7MJ6sqqTOWzuzKwjpgS6QkW6o44_H-63DUNKAaDEq_5S-JOGwCCp8xEno8IMMPrUGDsHWNhIr5LXpvA14PtdznpCY_hUKLjm31Cx5BlLv0Y2jIiq-vP5s-KdeAxJR5W2PuB4B7hUVeROITB-_Ia8134XeSdVLtjjEZe625c9eDqmEEsLlJSOrm60VhMxuqkLis7yJxXPVdhI8nf4JHlj0BOn5OnQVHFSFAWOPn9O0tmdnh2DDapCsWoKZejbQ4kWWLfBazJtAXdwYSBoTgoljTK87RsFaIQ6Or0E81=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-furbhstlGzE%2FUwdtHr4umZI%2FAAAAAAAAUQA%2FNh8JmgQgriw%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/EGBYRGiwy_8dOpk3HQh6w-ikVzbPcgCabxFFrV2_z_QGupxGPMKOBkJjB36UiYzXR6WfqJ1IXp8iQBpDqNoo-4KJRYBYdoKWL78xZ-4wQUHcx9Km174MkSSUaqplMI5Fz4cmJJ_jxoj_edWqT2pmCpIkPnSoetrxLUsFXZBx124RF96nHXPbfDsxb8CcxjllnQ_0emMbLBDTcdl6Kl5cQjD5CYKg6uoKDt-GMntff-jxfAKhfRY4UgLmeK4xX_Pk5G8qtNP7LwJxSvLscNb3kVNtOjhreufsp6wIEpF39yLNge-AMuOrqB_7sQQVV_2jGLFIY-XFd8bLyw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-BVzX_kjHXBE%2FUwdtcK7VmpI%2FAAAAAAAAUQM%2Fs3vU023xiK0%2Fs1600%2F1a.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xDQaKJfisicVqIEH-nYvIMpQKYKzYjN2c9NlKGd9xnky0RXZww33N1bck5aPc7Pczanhcnl0hZGLWas-Ey7UMApZB1kFUnNhABpYlTynXEpNlYRx-muwKVD-vBEd-J-5XbqQ0RriYXk5X8ASx12Fpa_wAUs6DkfWEwNv1t4ZaYunvCw02XTFKaw4Svq2CEJ1-sY-zT3RgdYbqu1Vbw1qf2xFud7PoHlnPZDlrwGJY3_v3S5OEGdTsLJAgRFb9Ij_x61-VUWHRiIQQ9noFH4Fv6dgHnBrJMy5Urj8fUGi85vNV7KoDqJicZYWh2UkegxhNXsPBs-Mj1Ob=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-uplZTsnXpfE%2FUwdtcaAT6GI%2FAAAAAAAAUQQ%2F83k_p53A8XY%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
MichuziUWANJA WA KAITABA BUKOBA WAANZA KUWEKWA NYASI RASMI LEO.
Uwanja wa Kaitaba Bukoba Umeanza kuwekwa nyasi bandia rasmi leo hii jumatatu 2 Novemba, 2015 na kutokana na maelezo ya wawekaji wamesema utachukuwa muda wa siku 14 tu.
Wakaazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake sasa kuanza kushuhudia kipute live bila Chenga katika Uwanja huo wa Kaitaba. Timu ya Kagera Sugar nayo inatarajiwa kurudi katika Uwanja huo ambao uutumia kama Uwanja huo ambapo mpaka sasa tangu msimu uliopita wamekuwa wakitumia Viwanja vingine kwa michezo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10