UWANJA WA KAITABA BUKOBA WAANZA KUWEKWA NYASI RASMI LEO.
Na Faustine Ruta, Bukoba.
Uwanja wa Kaitaba Bukoba Umeanza kuwekwa nyasi bandia rasmi leo hii jumatatu 2 Novemba, 2015 na kutokana na maelezo ya wawekaji wamesema utachukuwa muda wa siku 14 tu.
Wakaazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake sasa kuanza kushuhudia kipute live bila Chenga katika Uwanja huo wa Kaitaba. Timu ya Kagera Sugar nayo inatarajiwa kurudi katika Uwanja huo ambao uutumia kama Uwanja huo ambapo mpaka sasa tangu msimu uliopita wamekuwa wakitumia Viwanja vingine kwa michezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 May
MTAALAMU WA NYASI BANDIA KUTOKA FIFA ATUA BUKOBA LEO, APIMA UWANJA WA KAITABA
10 years ago
Michuzi13 Jan
UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA WAANZA KUPIGWA SOP SOP
Rais wa TFF, Jamal Malinzi alisema kuwa kutokana na ukarabati huo tayari Kagera Sugar imeshaomba kutumia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa ajili ya mechi zake za nyumbani. Katika hatua nyingine, Malinzi alisema kutokana na kikao cha Kamati ya Utendaji cha FIFA kilichokutana hivi karibuni kiliweka wazi kila Mwanachama wa FIFA ataendelea kupata dola za kimalekani 600,000...
10 years ago
Michuzi07 Dec
mashindano ya biblia yafanyika uwanja wa kaitaba leo mjini Bukoba
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Vzd0bdA56Aw%2FVIQaSA9tziI%2FAAAAAAAAYcw%2FCMRTMBGTM78%2Fs1600%2F10576868_783456471702504_1244433619_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PJ85noR32U%2FVIQaYXaSK9I%2FAAAAAAAAYdY%2F0UXMvsQJAr0%2Fs1600%2F10844541_783456441702507_707133171_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi15 Aug
WASANII WATUA BUKOBA TAYARI KWA UFUNGUZI WA FIESTA 2014 LEO UWANJA WA KAITABA
10 years ago
Michuzi13 Oct
KAGERA WAANZA VYEMA COPA COCA COLA 2014, WAICHAPA GEITA BAO 2-0 KATIKA UWANJA WA KAITABA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SkIX1gkn0mQ/Vn-za8DdrRI/AAAAAAAIO18/8a3PEL4hxms/s72-c/1c6458a30aa25a8d77d5a6203077eeb7.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Malinzi atembelea Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Jan
UWANJA WA MPIRA WA KAITABA UKIKARABATIWA MAMBO YA ESCROW HAYO BUKOBA OYEE
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10