Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAGERA SUGAR YASHINDA RHINO RANGERS 1- 0, SELEMAN KIBUTA AITUNGUA RHINO AKITOKEA BENCHI

Timu zikisalimiana Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Kagera Sugar wakiikaribisha timu ya Rhino Ranger leo kutoka Tabora kwenye Ligi  kuu ya Vodacom (VPL) wameifunga bao 1-0. katika mchezo huo ulio pigwa hii leo jumamosi katika kipindi cha kwanza timu zote mbili zilienda mapumziko zikiwa 0-0. Kipindi cha pili Kagera Sugar walifanya mabadiliko kwa kumuingiza mchezaji wao Seleman Kibuta na katika dakika ya 52 kipindi hicho hicho cha pili mchezaji huyo aliwapachikia bao la pekee. Bao hilo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR

Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 19 kesho (Februari 22 mwaka huu) kwa mechi tano zitakazochezwa katika miji ya Dar es Salaam, Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha. Kocha wa Rhino Rangers Wachezaji wa Timu ya Rhino Rangers kutoka Tabora wakifanya mazoezi yao ya mwisho kwenye Uwanja wa Kaitaba jioni hii, Kesho Kuwakabili Wenyeji Kagera Sugar. Rhino Rangers ambao wanashika nafasi ya mkiani mwa ligi hiyo pendwa ya Vodacom...

 

11 years ago

GPL

SIMBA 1, RHINO RANGERS 0

Mtanange kati ya Simba na Rhino Rangers ukiendelea uwanja wa Taifa jijini Dar. Taswira za uwanja wa Taifa kabla ya mechi kuanza. (Picha na Nicolaus Track/ GPL) TIMU ya Simba SC imeibuka na pointi tatu katika mtanange wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuilaza Rhino Rangers bao 1-0. Mechi hiyo imepigwa katika…

 

10 years ago

BBC

First step towards saving rhino

Experts are pinning their hopes on in-vitro fertilisation (IVF) to save the northern white rhino from extinction.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaichapa Rhino

. Mshambuliaji Ramadhani Singano alifunga bao na kukosa penalti wakati Simba iliposhinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBC

New record for SA rhino poaching

The number of rhinos killed in South Africa last year sets a new record, officials say.

 

10 years ago

BBC

Kenyan policeman 'had rhino horn'

A Kenyan police officer and two other suspects appear in court, after they were allegedly found with 600kg of rhino horn.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yaituliza Rhino Dar

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, jana walianza vema mzunguko wa lala salama Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuwapigisha kwata maafande wa Rhino Rangers ya Tabora na kuwalaza bao 1-0 kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani