Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaituliza Rhino Dar

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, jana walianza vema mzunguko wa lala salama Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuwapigisha kwata maafande wa Rhino Rangers ya Tabora na kuwalaza bao 1-0 kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba yaichapa Rhino

. Mshambuliaji Ramadhani Singano alifunga bao na kukosa penalti wakati Simba iliposhinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

SIMBA 1, RHINO RANGERS 0

Mtanange kati ya Simba na Rhino Rangers ukiendelea uwanja wa Taifa jijini Dar. Taswira za uwanja wa Taifa kabla ya mechi kuanza. (Picha na Nicolaus Track/ GPL) TIMU ya Simba SC imeibuka na pointi tatu katika mtanange wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuilaza Rhino Rangers bao 1-0. Mechi hiyo imepigwa katika…

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya yahaidi kiama kwa Rhino, Simba

>Mashabiki wa Mbeya City wameungana na wale wa Prisons katika kuhakikisha timu zao zinatoka na ushindi leo na kesho dhidi ya Rhino Rangers na Simba kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba narrow gap to leaders with Rhino win

Simba SC stayed in the hunt for the Vodacom Premier League title with a wafer-thin 1-0 victory over Rhino Rangers at the National Stadium yesterday.

 

11 years ago

Michuzi

KAGERA SUGAR YASHINDA RHINO RANGERS 1- 0, SELEMAN KIBUTA AITUNGUA RHINO AKITOKEA BENCHI

Timu zikisalimiana Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Kagera Sugar wakiikaribisha timu ya Rhino Ranger leo kutoka Tabora kwenye Ligi  kuu ya Vodacom (VPL) wameifunga bao 1-0. katika mchezo huo ulio pigwa hii leo jumamosi katika kipindi cha kwanza timu zote mbili zilienda mapumziko zikiwa 0-0. Kipindi cha pili Kagera Sugar walifanya mabadiliko kwa kumuingiza mchezaji wao Seleman Kibuta na katika dakika ya 52 kipindi hicho hicho cha pili mchezaji huyo aliwapachikia bao la pekee. Bao hilo...

 

11 years ago

TheCitizen

How the city of Dar es Salaam is different from a white rhino

Reading the headline on this newspaper last week (Dar in world’s top 50 must-visit places list, January 17, 2014), I couldn’t help thinking back to my first time in this city, just over a year ago.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda yaituliza Yanga kweupe

Yanga imepoteza nafasi ya kukalia usukani wa ligi baada ya kulazimishwa suluhu na wachezaji 10 wa Ndanda FC jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Messi ang’ara, Ghana yaituliza Ujerumani

Wawakilishi wa Afrika, Ghana wamejiweka njia panda katika harakati zake za kusaka kufuzu kwa hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia baada ya kulazimishwa sare 2-2 na Ujerumani, huku Lionel Messi akiibeba Argentina kwa kuichapa Iran 1-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani