Simba yaituliza Rhino Dar
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, jana walianza vema mzunguko wa lala salama Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuwapigisha kwata maafande wa Rhino Rangers ya Tabora na kuwalaza bao 1-0 kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Simba yaichapa Rhino
. Mshambuliaji Ramadhani Singano alifunga bao na kukosa penalti wakati Simba iliposhinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2IxtwK9lpC1KxlR4SCQuRziiy0aCLhP0xEZmvrJwV4r5aYEC8ziDizEl*JHxZww2J6pwpLKqLJ99VvObkoW3*eK/MECHI2.jpg?width=650)
SIMBA 1, RHINO RANGERS 0
Mtanange kati ya Simba na Rhino Rangers ukiendelea uwanja wa Taifa jijini Dar. Taswira za uwanja wa Taifa kabla ya mechi kuanza. (Picha na Nicolaus Track/ GPL) TIMU ya Simba SC imeibuka na pointi tatu katika mtanange wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuilaza Rhino Rangers bao 1-0. Mechi hiyo imepigwa katika…
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Mbeya yahaidi kiama kwa Rhino, Simba
>Mashabiki wa Mbeya City wameungana na wale wa Prisons katika kuhakikisha timu zao zinatoka na ushindi leo na kesho dhidi ya Rhino Rangers na Simba kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
11 years ago
TheCitizen27 Jan
Simba narrow gap to leaders with Rhino win
Simba SC stayed in the hunt for the Vodacom Premier League title with a wafer-thin 1-0 victory over Rhino Rangers at the National Stadium yesterday.
11 years ago
Michuzi23 Feb
KAGERA SUGAR YASHINDA RHINO RANGERS 1- 0, SELEMAN KIBUTA AITUNGUA RHINO AKITOKEA BENCHI
11 years ago
TheCitizen24 Jan
How the city of Dar es Salaam is different from a white rhino
Reading the headline on this newspaper last week (Dar in world’s top 50 must-visit places list, January 17, 2014), I couldn’t help thinking back to my first time in this city, just over a year ago.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ndanda yaituliza Yanga kweupe
Yanga imepoteza nafasi ya kukalia usukani wa ligi baada ya kulazimishwa suluhu na wachezaji 10 wa Ndanda FC jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Messi ang’ara, Ghana yaituliza Ujerumani
Wawakilishi wa Afrika, Ghana wamejiweka njia panda katika harakati zake za kusaka kufuzu kwa hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia baada ya kulazimishwa sare 2-2 na Ujerumani, huku Lionel Messi akiibeba Argentina kwa kuichapa Iran 1-0.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania