Ndanda yaituliza Yanga kweupe
Yanga imepoteza nafasi ya kukalia usukani wa ligi baada ya kulazimishwa suluhu na wachezaji 10 wa Ndanda FC jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 May
Ndanda waipigia magoti Yanga
NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
LIGI Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 inamalizika leo kwa timu 14 za ligi hiyo zitakapokuwa katika viwanjani tofauti, huku mabingwa wa ligi hiyo, timu ya Yanga wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara.
Yanga, walioondoka Dar es Salaam juzi, tayari wamewasili mkoani humo kuwavaa Ndanda katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, huku wenyeji hao wakiomba ishinde mchezo huo ili isalie kwenye ligi hiyo inayodhaminiwa na Vodacom msimu ujao.
Ndanda, walio na pointi 28, ipo...
10 years ago
TheCitizen02 Feb
SOCCER: Ndanda hold wasteful Yanga
10 years ago
GPLYANGA YASHIKWA TAIFA, YALAZIMISHWA SULUHU NA NDANDA
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s72-c/MMGM0430.jpg)
YANGA, NDANDA ZATOKA SULUHU UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s1600/MMGM0430.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1Ut4k7AS74/VM5COcG-zbI/AAAAAAAHArQ/l6aZMemQBTI/s1600/MMGM0449M.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R13pogCyQsQ/VM5DifzcanI/AAAAAAAHArk/K80WpKAUSXs/s1600/MMGL0520.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyrXVNIeDOo/VM5DiZ5cT_I/AAAAAAAHArc/9JNHJg82rQM/s1600/MMGL0562.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EN1Io4j8RAs/Xvdw_d7FCWI/AAAAAAADdgU/52s46Ef3TCMWhLdFwFRP6nSHXWmj2uz0ACNcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s72-c/MMGM0297.jpg)
Yanga yashindwa kufutukuta mbele ya Ndanda,zatoka suluhu kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s1600/MMGM0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dD1xNFTyW2I/VM5CJisit9I/AAAAAAAHArA/jkrNgFRP9dQ/s1600/MMGM0399.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Simba yaituliza Rhino Dar
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, jana walianza vema mzunguko wa lala salama Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuwapigisha kwata maafande wa Rhino Rangers ya Tabora na kuwalaza bao 1-0 kwenye...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Messi ang’ara, Ghana yaituliza Ujerumani