Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Ushindi wa mabao mengi utaisaidia Yanga leo
Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, leo wataingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa ajili ya kucheza na Al Ahly ya Misri katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya mashindano hayo.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Cannavaro ataka mabao mengi Yanga
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amewataka wachezaji wenzake kuhakikisha wanafunga mabao mengi na kutoruhusu bao katika kila mechi watakayocheza kama wana nia ya kuipokonya ubingwa Azam FC.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s72-c/MMGM0430.jpg)
YANGA, NDANDA ZATOKA SULUHU UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s1600/MMGM0430.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1Ut4k7AS74/VM5COcG-zbI/AAAAAAAHArQ/l6aZMemQBTI/s1600/MMGM0449M.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R13pogCyQsQ/VM5DifzcanI/AAAAAAAHArk/K80WpKAUSXs/s1600/MMGL0520.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyrXVNIeDOo/VM5DiZ5cT_I/AAAAAAAHArc/9JNHJg82rQM/s1600/MMGL0562.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s72-c/MMGM0297.jpg)
Yanga yashindwa kufutukuta mbele ya Ndanda,zatoka suluhu kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s1600/MMGM0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dD1xNFTyW2I/VM5CJisit9I/AAAAAAAHArA/jkrNgFRP9dQ/s1600/MMGM0399.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgANHqeLkVdfgDExQBUsIFyHPj02kWafWcCuM9NkBYALN7msY-*kDHf*7oUlwR99zKDLMq7yYtosoOntiky-jjV/Untitled1.jpg?width=650)
Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu
Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Kocha Simba aja na falsafa ya mabao mengi
Dylan Kerr, ni mtu aliyekabidhiwa mikoba na jukumu zito la kuinoa Simba akirithi mikoba ya Goran Kopunovic, raia wa Serbia aliyeiongoza msimu uliopita, ambako timu hiyo ilimaliza kwenye nafasi ya tatu, nyuma ya Yanga na Azam.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s72-c/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0
![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s640/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.
FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kk8Hhj9x57w/Xl6gwYlL7OI/AAAAAAAA9ZY/egymD4gF8RsoqL0eHgDwtYFok74lCTXxgCNcBGAsYHQ/s640/ESNDZ94XYAQnssw.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Yanga yasaka kocha England
>Pamoja na makocha wengi kujitokeza kuwania nafasi ya kuinoa Yanga, uongozi wa klabu hiyo umeelekeza nguvu zao Uingereza kwa ajili ya kurithi mikoba ya kocha Mholanzi, Ernie Brandts.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania