Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu
![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgANHqeLkVdfgDExQBUsIFyHPj02kWafWcCuM9NkBYALN7msY-*kDHf*7oUlwR99zKDLMq7yYtosoOntiky-jjV/Untitled1.jpg?width=650)
Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9d1ti9UyDSjuTC228D2jqCoMqsemV-tjZQDiV5w-byN4b7LiR-fK2T4SKMnRjcZXfu82sTOm2HEv-GTmRRHPjPa/okwi.jpg?width=650)
Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pSOuo72vrhZh2gNAIcVBDOL5UeMdPQuKLsiyVEJFKEIk0EOm26IEgHt9-Y6rKxT6vn-X9ij1e7ZwTriWkqKQSY/yanga.jpg?width=650)
Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s72-c/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0
![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s640/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.
FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kk8Hhj9x57w/Xl6gwYlL7OI/AAAAAAAA9ZY/egymD4gF8RsoqL0eHgDwtYFok74lCTXxgCNcBGAsYHQ/s640/ESNDZ94XYAQnssw.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Okwi: Nitaichezea Yanga kwa mapenzi makubwa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prk-Jxvm*XWW6tie4C6xGEdHBlge4eUoCNtFN58eIBAML7D5kJn4MKYDh8f78qFf-3-pubFZawopLybq6*rJtyw/yanga.jpg?width=650)
Matajiri wanunua mabao ya Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9d8lBnFSal1NwVXr6qZnqJ6aV6KqwPuIKWvlKpdvia5TLKD*OpsryXL0Bs0*KjdXQGe2*0KG-zN1ntRZczXQVcC/11036444_910264815682719_1816202183556434897_n.jpg?width=650)
YANGA SC YAIFUNGA COASTAL UNION MABAO 8-0
11 years ago
GPLCoutinho atupia mabao mawili Yanga