Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu

Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe

Shambuliaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi. Johnson James, Mwanza
MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi, amewapongeza wapinzani wake wakubwa, Yanga, baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini pia amewapa mambo matatu ili wawang’oe Waarabu. Yanga kwa sasa inatarajiwa kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora baada ya kuitupa nje Platinum ya...

 

11 years ago

GPL

Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu

Na Sweetbert Lukonge
WAKATI uongozi wa Yanga ukiwa katika harakati za kutaka kumsajili beki wa kulia wa Mtibwa Sugar, Hamis Kessy, umepewa masharti matatu ya kufanya ili uweze kukamilisha usajili huo. Yanga inamhitaji beki huyo ambaye msimu uliopita alifanya vizuri zaidi akiwa na kikosi cha Mtibwa Sugar ili iweze kuimarisha safu yake ya ulinzi kwa ajili ya michuano ya ligi kuu na ile ya kimataifa ambayo itashiriki mwakani....

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo

Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0

  Yanga imefanikiwa kunyakua pointi tatu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.

FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi: Nitaichezea Yanga kwa mapenzi makubwa

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Emmanuel Okwi kutoka Uganda ametua nchini kuja kuitumikia klabu hiyo na kusema ataichezea kwa mapenzi makubwa.

 

10 years ago

Michuzi

OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...

 

11 years ago

GPL

Matajiri wanunua mabao ya Yanga

Lucy Mgina na Martha Mboma
WANACHAMA wa Yanga Family wameahidi kununua kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly itakayopigwa Jumamosi ya wiki hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga ilifanikiwa kuingia raundi ya kwanza ya michuano hiyo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo kilisema kuwa kundi la...

 

10 years ago

GPL

YANGA SC YAIFUNGA COASTAL UNION MABAO 8-0

Muonekano wa TV ya Uwanja wa Taifa baada ya mechi. Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman TIMU ya Yanga SC imeifunga Coastal Union mabao 8-0. Wafungaji Amiss Tambwe amefunga manne, Msuva mawili, Telela, Sherman. Mechi imemalizika Uwanja wa Taifa. Yanga SC: Ally Mustafa ‘Barthez’, Juma Abdul, Oscar Joshua/Edward Charles dk77, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Mbuyu Twite/Hassan Dilunga… ...

 

11 years ago

GPL

Coutinho atupia mabao mawili Yanga

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake.
Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, ameonyesha upinzani mkubwa wa kupachika mabao kwa mshambuliaji wa timu hiyo, Jerry Tegete.
Upinzani mkubwa baina ya wawili hao ulitokea katika mazoezi ya jana jioni kwenye Uwanja wa Chuo cha Bandari, Temeke jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya kwanza timu hiyo kuanza mazoezi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani