Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matajiri wanunua mabao ya Yanga

Lucy Mgina na Martha Mboma
WANACHAMA wa Yanga Family wameahidi kununua kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly itakayopigwa Jumamosi ya wiki hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga ilifanikiwa kuingia raundi ya kwanza ya michuano hiyo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo kilisema kuwa kundi la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0

Mprira umekwisha si Simba wala Yanga aliyeona mlango wa mwenzake

 

10 years ago

GPL

YANGA SC YAIFUNGA COASTAL UNION MABAO 8-0

Muonekano wa TV ya Uwanja wa Taifa baada ya mechi. Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman TIMU ya Yanga SC imeifunga Coastal Union mabao 8-0. Wafungaji Amiss Tambwe amefunga manne, Msuva mawili, Telela, Sherman. Mechi imemalizika Uwanja wa Taifa. Yanga SC: Ally Mustafa ‘Barthez’, Juma Abdul, Oscar Joshua/Edward Charles dk77, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Mbuyu Twite/Hassan Dilunga… ...

 

11 years ago

GPL

Coutinho atupia mabao mawili Yanga

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake.
Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, ameonyesha upinzani mkubwa wa kupachika mabao kwa mshambuliaji wa timu hiyo, Jerry Tegete.
Upinzani mkubwa baina ya wawili hao ulitokea katika mazoezi ya jana jioni kwenye Uwanja wa Chuo cha Bandari, Temeke jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya kwanza timu hiyo kuanza mazoezi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Cannavaro ataka mabao mengi Yanga

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amewataka wachezaji wenzake kuhakikisha wanafunga mabao mengi na kutoruhusu bao katika kila mechi watakayocheza kama wana nia ya kuipokonya ubingwa Azam FC.

 

10 years ago

GPL

Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu

Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...

 

11 years ago

Mwananchi

Ushindi wa mabao mengi utaisaidia Yanga leo

Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, leo wataingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa ajili ya kucheza na Al Ahly ya Misri katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya mashindano hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo

Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0

  Yanga imefanikiwa kunyakua pointi tatu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.

FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.

 

5 years ago

Michuzi

TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA

Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani