Matajiri wanunua mabao ya Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prk-Jxvm*XWW6tie4C6xGEdHBlge4eUoCNtFN58eIBAML7D5kJn4MKYDh8f78qFf-3-pubFZawopLybq6*rJtyw/yanga.jpg?width=650)
Lucy Mgina na Martha Mboma WANACHAMA wa Yanga Family wameahidi kununua kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly itakayopigwa Jumamosi ya wiki hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga ilifanikiwa kuingia raundi ya kwanza ya michuano hiyo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo kilisema kuwa kundi la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s72-c/SIMBA.jpeg)
SIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s640/SIMBA.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9d8lBnFSal1NwVXr6qZnqJ6aV6KqwPuIKWvlKpdvia5TLKD*OpsryXL0Bs0*KjdXQGe2*0KG-zN1ntRZczXQVcC/11036444_910264815682719_1816202183556434897_n.jpg?width=650)
YANGA SC YAIFUNGA COASTAL UNION MABAO 8-0
11 years ago
GPLCoutinho atupia mabao mawili Yanga
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Cannavaro ataka mabao mengi Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgANHqeLkVdfgDExQBUsIFyHPj02kWafWcCuM9NkBYALN7msY-*kDHf*7oUlwR99zKDLMq7yYtosoOntiky-jjV/Untitled1.jpg?width=650)
Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Ushindi wa mabao mengi utaisaidia Yanga leo
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s72-c/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0
![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s640/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.
FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kk8Hhj9x57w/Xl6gwYlL7OI/AAAAAAAA9ZY/egymD4gF8RsoqL0eHgDwtYFok74lCTXxgCNcBGAsYHQ/s640/ESNDZ94XYAQnssw.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...