TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Simba imeshinda katika mchezo wake wa pili wa mazoezi dhidi ya timu ya Black Sailor kwa mabao 4—0
Jopo la Makocha wa timu ya Simba...
10 years ago
MichuziSimba Imeshinda katika mchezo wake wa Pili wa Mazoezi dhidi ya Timu ya Black Sailor kwa mabao 4--0
10 years ago
MichuziTimu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s72-c/IMG-20150906-WA054.jpg)
TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s640/IMG-20150906-WA054.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M-3gtIbOCig/Ve1MZLJ2X0I/AAAAAAAH2_4/fGkY4wC9Pvs/s640/IMG-20150906-WA057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_jI_FqyPyU/Ve1MZyWq-ZI/AAAAAAAH3AM/viDZYeWmmuE/s640/IMG-20150906-WA067.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-obz3Bz6wjY4/Ve1MaXYZWtI/AAAAAAAH3AU/N0_W1qaCEWw/s640/IMG-20150906-WA069.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).
(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.
Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
11 years ago
Michuzi30 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: PENATI ZAPIGWA TENA LEO KAITABA, KITENDAGURO FC YAIBUKA BINGWA NA KUSONGA NUSU FAINALI KWA PENATI 6-5 DHIDI YA TIMU YA RWAMISHENYE FC
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/auJq8fDCK8IARifmEZVul5JZeum7YIRk2qUACOSAbhe3oTM-YQv-QvcePMB-fbYSKd8QNd4cUB8D1h5DSRpiNTnFcERIJpG2UuIuVFWdsq0QphZb0yuwsLCi3tD3mX0RS-FmL3PKllzDGT3RmQv3uje966QbX1wPZj6_n3R05TXJdBH9yyAJAxZnHss6PDUkaxSVj-R0aaDlB2OYykmTTotAgivq4F3GlvI0Sb763qsXzUYyN0wW8eLi42Tj_gRPFgBbqhkAKxxhW7UcXbB7c4zSoKeqKPJ97jOPnuMBmaKbUu_cog=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10572393_722654031116082_488045349_o.jpg?oh=cec1698e19f95d144dadd0d089ba21fa&oe=53D9BA31&__gda__=1406795182_8299a02ce517b64203f448487ab2f8db)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mNgK_dK1Vr7SAywb65HIpzIgEXMROy3gY_eb-ygDnpsaQOX1fui1fY78mzfegO5Lpua7cDixJiTqa2Jn3Cn7LJ54eRlCJs1rCJ7FFgHuGHNol7IvrICBCYWd48aqwY-fYdTddOSzuYrGA2dsQsHmifQgg5zDN3T88dwL3ezcrSElFFr69MiYvhSfMU8gf05hTwtTJ95vAzoCJ8srfBgaOzQraiZRA0zWlyUdNROkjj5gan-dKHFk9XmejHJVKvalTAhyikN84WMXpknMAB0Bkfm3z-bjBuqNpwZrobQ5iVny6HLoLw=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10571135_722654394449379_164698547_o.jpg?oh=b4153c77404aa57952f081473ebb422f&oe=53D990A3&__gda__=1406782014_c03e5b94753ccd8ac81daaad1a98834a)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8Chy6gRd13ue9i-GwhSQ6vFvOEwe7jrWbdH-YlqD6IlESlX_mSFhaK1dZHq8K3J_thudqlXiFUWUsjwW_Lu3Igz-pt4EvTJ3C_U6oRW_JsUbDtjjglZ_EKvo0VeNMeO-rvWUYkGHxIsBU8C8tzY-CsHWukzrbfWh0-9iwwL0bHvbrtFqblZinwqNzQ3KCIWWVHRfdQFBIVVBoCVAUNJFIfxiznErCH4TBsI91GbPxDoCdFflDCRJvpT4D_Xfl43oT0KpCqB-fS2BIomwo8UBFB97R5tHoMSWROQWRX9TUa9wIb_cJrE=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10573894_722654921115993_2062049954_o.jpg?oh=cfe849f8100b8ae513040e01d4f56175&oe=53DA0CB6&__gda__=1406782374_f1c9b638627a676253e984fabe74a6cb)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/XNk4LwTt85VidJrIMz1lANJoEZwjH_gzUF7SHHEEs1i-znPvLSMsjMs_YaDmVmhrks1pGP0UC-_b1Rz_Qg-HWHrbqJdFUg_iYIYMEaqaobhQIBOM_n08iCo8GstwDYxGHxkZ99KZbpp_1ya7CO4yhgqMUrOwWp9Qliz-v-nPBGI6VYSBVFjZBQa5N6gok5Mh2dzoyDdPmR5n62Cff2K3QUvI0aPJBnuewZY794qHCBPFGu5TNs7x-a2djeSeVzqhqCTxcc2hKgN8Rs0KFHN0ewsfbDMHjgmXhIhaBlX1Bsu5sBF-zRM=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10587086_722654944449324_1372261837_o.jpg?oh=c8cdb93876a99d81300d30b3f80a86a2&oe=53D9E6D5&__gda__=1406789189_fa7ccbefff36d92db9ac8565e2d11035)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/FEuAjS20VkrxmbES2yDXbCVolTvqjAxkwFJur8h__r_ULOK4QLDmfI1yUd6zbRydNgNksKHMXE7t9JRO7pRt3h4j_KD_23pKSpFqRfUnu82oxYml6KqSsUZ3Ocd2t3QNF6vA-eU19HTNbmKGpDUjmd69f4AVrZKzzTli2yQ9jLHBaMBCPLoQ6AUKFOupzCo5p9YJYNS3-X_yBmm2f2TUhczimntf8p5uvM1Zp8xirdLNWO4j3KeyeNLNCp2a6ka23JhivfzVNVCIDwzy36obRTj6KL84TCKMGynpIljxPGniZ08PtNY=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10562832_722654931115992_1809398649_o.jpg?oh=cc9a9f9bbcd49169edddb72cd39d0ad6&oe=53DA06A2&__gda__=1406773682_56e3c8db8dbe3fed63bca2d70aa3c38a)
10 years ago
Vijimambo31 Jan
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…
![](http://api.ning.com/files/lQ0QUhfJdPH3clEPGgip55xJJqfb2yRLfvpv1jYYpHG7WGe1NvjVBbexK*lKZRoqwrmLn0XizapiW8qXb-am-abjsWdIBTTE/sserunkuma22.jpg?width=750)
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
10 years ago
Mwananchi03 Jun
MAANDALIZI:Simba, Yanga zachelewesha usajili wa timu ndogo