Timu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
Katika shamrashamra za kusherehekea Miaka 51 kuungana Tanganyika na Zanzibar na kuwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Timu ya Zanzibar Diaspora nchini Marekani imeifunga bao jirani zake timu ya Tanganyika USA bao 7-1. Kikosi cha timu ya Tanganyika
Tanganyika na Zanzibar kama ishara ya Muungano
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm-JGzm9ycQ/VUEKoJX2s9I/AAAAAAAC3yg/ziliOytnw00/s72-c/1.jpg)
TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
9 years ago
MichuziMalkia wa Kombe la Muungano Timu ya Uhamiaji Yaitungua JKU Kwa 38-- 25
BOFYA...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mperani FC yanyakua ubingwa wa Kamanda Cup kata ya Kindai Singida kwa kuitandika Munangi mabao 2-0 katika fainali
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Singida, Rehema Sombi akimkabidhi Nahodha wa timu ya Soka ya Mperani Fc Maiko Manase Kombe la ubingwa pamoja fedha taslimu shilingi laki moja, Kamanda Cup Kata ya Kindai iliyoandaliwa na Kamanda wa UVCCM wa Kata hiyo Omary Kinyeto.
Na Hillary Shoo, Singida.
TIMU ya soka ya Mperani Fc ya Kata ya Kindai Manispaa ya Singida imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kamanda baada ya kuichapa timu ya Singida Munangi mabao 2-0.
Katika mchezo...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Zanzibar ndani ya Tanganyika au muungano?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoN8YDKlZJCEmm3Jn6RyoMSHyIUYkLZumlT7*MfR1CitI0vOwDAGDGMdxUpww1nXBrAXkoCI8AF6eKTwK5NX0X4*/muungano.jpg?width=650)
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WATIMIZA MIAKA 50
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.