Malkia wa Kombe la Muungano Timu ya Uhamiaji Yaitungua JKU Kwa 38-- 25
Mchezaji wa Timu ya JKU Rose Israel (WA) na Uhamiaji Sofia Komba (C) wakiwania mpira wakasti wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano iliofanyika katika uwanja wa Gmykhana Zanzibar Timu ya Uhamiaji imeshinda kwa mabao 38--25.
Mchezaji wa Timu ya JKU Dawa Haji (GA) akijiandaa kudaka mpira huku mlizi wa Timu ya Uhaniaji Kachilika Joana (GD) akijiandaa kumzuiya katika mchezo huo.Timu ya Uhamiaji imeshinda 38--25
Wachezaji wa Timu ya Uhamiaji Skozi Jackline (WA) na JKU Ashura Ramadhani (WD)
BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTimu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
9 years ago
Michuzi04 Jan
TIMU YA KILUVYA UNITED YAITUNGUA AFRICAN LYON KWA MABAO 2-1 LIGI DARAJA LA KWANZA
Katika mchezo huo wa Kundi 'A' ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kila timu kucheza kufa na kupona kwa lengo la kuweza kuibuka na ushindi na kujinyakulia pointi tatau muhimu ili iweze kujiwekea...
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BI2yOMbl3UE/VK7b4JyhHbI/AAAAAAACVZE/vCJvqT-KUUM/s72-c/TAMBWE.jpg)
YANGA NAYO OUT KOMBE LA MAPINDUZI YAPIGWA 1-0 NA JKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-BI2yOMbl3UE/VK7b4JyhHbI/AAAAAAACVZE/vCJvqT-KUUM/s640/TAMBWE.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
KAGASHEKI CUP 2014: TIMU YA KAGONDO YAITUNGUA BUHEMBE FC BAO 1-0
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Kombe la dunia:Timu 3 za Afrika zashindwa