TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati akiwa katika picha ya pamoja na mabingwa wa mashindano ya kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa soka mkoa wa Iringa Feisal Asas
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Mboni Mhita akikabidhi kombe kwa mabingwa timu ya MUcoba FC
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2014: Mbaspo, Mucoba hapatoshi fainali
MABINGWA watetezi wa Kombe la Muungano Mufindi, Mbaspo Academy ya jijini Mbeya, imeungana na Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba), kucheza fainali ya mashindano hayo mwaka huu. Kwa mujibu wa Mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi
WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0OEO8xNyy3w/VVL5L-VXfkI/AAAAAAAHW94/o-wT5XCMOos/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mashindano ya kombe la Muungano Mufindi 2015 yaanza rasmi
11 years ago
MichuziMUCOBA FC MABINGWA MUUNGANO CUP
9 years ago
VijimamboTANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s72-c/RioFerdinand-Getty.jpg)
RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s400/RioFerdinand-Getty.jpg)
Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/30/14/006496B800000258-3103657-Ferdinand_celebrated_his_first_Premier_League_in_May_2003_in_his-m-76_1432990837709.jpg)
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kOEtSv8opUw/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Chai Bora yapiga tafu Kombe la Muungano Mufindi 2014
KAMPUNI ya Chai Bora na Benki ya Wananchi wa Mufindi (Mucoba), zimejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi 2004 yaliyoanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa Mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Mucoba Mufindi yatoa mikopo ya bil. 10/-
BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba) iliyoko wilayani Mufindi, Iringa, imetoa mikopo ya sh bilioni 10 kwa wajasiriamali 33,000 ili waweze kuboresha miradi yao na kujiendeleza kiuchumi. Meneja wa benki hiyo,...