MUCOBA FC MABINGWA MUUNGANO CUP
Kikosi cha Mucoba Fc kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa fainali na Mbaspo Academy na kufanikiwa kunyakua kikombe cha Muungano katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Igowole.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo akimkabidhi kikombe cha ubingwa nahodha wa timu ya Mucoba Fc Emanuel Sabinus baada ya kuwafunga Mbaspo academy kwa mikwaju ya penati 7-5 katika mchezo uliochezwa uwanja wa shule ya msingi Igowole wilayani Mufindi.
Nahodha wa timu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2014: Mbaspo, Mucoba hapatoshi fainali
MABINGWA watetezi wa Kombe la Muungano Mufindi, Mbaspo Academy ya jijini Mbeya, imeungana na Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba), kucheza fainali ya mashindano hayo mwaka huu. Kwa mujibu wa Mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Mabingwa Uhai Cup kuzuru Maramba
MABINGWA wa Kombe la Uhai ambalo hushirikisha wachezaji wanaotumikia vikosi vya pili kwenye timu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania bara, Coastal Union U-20, kesho wanatarajiwa kufanya ziara ya kimichezo Tarafa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze-2rvmq8Vs/VG1px99DqbI/AAAAAAAGyVI/PSjgCcj5VcE/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s72-c/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA,TIMU YA KIBOSHO KINDI YAIBUKA MABINGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s640/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EWsdpJyrDr4/VXe9GMHScmI/AAAAAAAAQuc/6Y3y71kkVF8/s640/E86A9960%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-90kRhci7Mss/VXe9DttStpI/AAAAAAAAQuE/n9TCP82fKxA/s640/E86A9942%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IIVavhRcqnc/VXe9I5wBnqI/AAAAAAAAQu4/tF3OpB7nHA0/s640/E86A9979%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s72-c/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
MICHUANO YA MBATIA CUP 2015 SASA YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s640/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiCB0-X46cE/VZ83EUNzuHI/AAAAAAAAR9Y/_MGtkW2XD7Q/s640/E86A3090%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali .
![](http://4.bp.blogspot.com/-LgypwHD40NY/VZ83nWzeqNI/AAAAAAAAR_E/eB18O7OUPU8/s640/E86A3175%2B%25281280x853%2529.jpg)
Katibu Mwenezi wa chama cha NCCR -Mageuzi ,Stanley Temba akiwa ameongozana na katibu wa Vijana wa chama hicho katika jimbo la Vunjo Danieleson Shayo wakisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SsliEuF71t4/VZ827ym5eYI/AAAAAAAAR80/nF2MX8mzX1Q/s640/E86A3085%2B%25281280x853%2529.jpg)
Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CjnKTFV92-w/VZ828OwAAlI/AAAAAAAAR88/WWhSQE0-8Sg/s640/E86A3074%2B%25281280x853%2529.jpg)
Benchi la ufundi la timu ya...
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali
![IMG_1261](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_1261.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mucoba yanufaisha 33,000
BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba), yenye makao makuu wilayani Mufindi mkoani hapa, imewanufaisha zaidi ya wanachama 33,000 kwa kuwapa mikopo yenye thamani ya sh bilioni 10 kwa lengo la kuanzisha...