Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mucoba yanufaisha 33,000

BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba), yenye makao makuu wilayani Mufindi mkoani hapa, imewanufaisha zaidi ya wanachama 33,000 kwa kuwapa mikopo yenye thamani ya sh bilioni 10 kwa lengo la kuanzisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

MUCOBA FC MABINGWA MUUNGANO CUP

 Kikosi cha Mucoba Fc kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa fainali na Mbaspo Academy na kufanikiwa kunyakua kikombe cha Muungano katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Igowole.   Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo akimkabidhi kikombe cha ubingwa nahodha wa timu ya Mucoba Fc Emanuel Sabinus baada ya kuwafunga Mbaspo academy kwa mikwaju ya penati 7-5 katika mchezo uliochezwa uwanja wa shule ya msingi Igowole wilayani Mufindi.  Nahodha wa timu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mucoba Mufindi yatoa mikopo ya bil. 10/-

BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba) iliyoko wilayani Mufindi, Iringa, imetoa mikopo ya sh bilioni 10 kwa wajasiriamali 33,000 ili waweze kuboresha miradi yao na kujiendeleza kiuchumi. Meneja wa benki hiyo,...

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YANUFAISHA WANA-MTWARA

 Na Hassan Simba, Mtwara  IMEELEZWA kuwa kufikishwa kwa elimu juu ya mpango wa kunusuru kaya masikini unaoendeshwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini tasaf awamu ya tatu, ndio chachu ya mafanikio ya mpango huo yaliyokwishaanza kuonekana kwa jamii ya wakazi wa Mtwara.  Hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa mfuko huo Bw. Ladislaus Mwamanga, alipokuwa anaongea na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Idd Mshili, ofini kwake alikokwenda kumtembelea kabla ya kwenda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF yanufaisha 600 Arusha

ZAIDI ya watu 600 wamenufaika na huduma za upimaji afya bure zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Maendeleo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Solar yanufaisha wanawake Unguja

Mradi wa Solar wawanufaisha kiuchumi wanawake wa Unguja, nchini Tanzania

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mucoba kunufaisha wakulima kwa mkopo nafuu

WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa, wanatarajia kunufaika na ruzuku za pembejeo kupitia Benki ya wananchi Mufindi (Mucoba) kwa kupatiwa mikopo kwa kila kikundi cha wakulima itakayokuwa na riba nafuu. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu

WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.

 

11 years ago

Dewji Blog

Miradi ya MCA-T yanufaisha Serikali ya Muungano

PICHA ZA KUKABIDHI VIFAA 3 - 1

Waziri Fedha na Uchumi, Saada Mkuya.

Na Mwandishi wetu- Hazina

Maendeleo ya nchi yoyote duniani yanatokana na rasilimali zilizopo katika nchi husika na mipango madhubuti iliyojiwekea.

Serikali imeanzisha sera za uchumi na programu za maendeleo kwa lengo la kuwawezesha watu na kukuza  uchumi nchini.

Sera hizo pamoja na mikakati  mbalimbali ilitungwa kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi Watanzania  ili wamiliki, waendeshe na wanufaike na uchumi  wao kufuatia Dira ya Maendeleo iliyojiwekea ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani