TASAF YANUFAISHA WANA-MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dFh3lN2BgIA/Uvu0lRE_hOI/AAAAAAAFMp8/N8cQKtWfbw4/s72-c/ta1.jpg)
Na Hassan Simba, Mtwara IMEELEZWA kuwa kufikishwa kwa elimu juu ya mpango wa kunusuru kaya masikini unaoendeshwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini tasaf awamu ya tatu, ndio chachu ya mafanikio ya mpango huo yaliyokwishaanza kuonekana kwa jamii ya wakazi wa Mtwara. Hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa mfuko huo Bw. Ladislaus Mwamanga, alipokuwa anaongea na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Idd Mshili, ofini kwake alikokwenda kumtembelea kabla ya kwenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xq8VwENi8DA/VRMBILWwSHI/AAAAAAAHNPQ/xVAzGYL-tDI/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAFUNDA WAANDISHI WA HABARI WA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
Akifungua mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa utaratibu wa Kikao Kazi Mkurugenzi Mtendajiwa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amesema kazi ya kutokomeza umaskini nchini inahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari.
Bwana Mwamanga amesema tangu TASAF...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wana-CCM Mtwara wamlilia Makunda
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara kimeelezea kusikitishwa kwake na kifo cha aliyekuwa Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Rowland Makunda kilichotokea katika Hospitali Kuu ya Jeshi hilo Lugalo, Dar es Salaam Oktoba 16 mwaka huu na kuzikwa mjini Masasi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s72-c/_MG_4845.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s640/_MG_4845.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD2hqswBcao/VcjewgLKV3I/AAAAAAAHvyk/ffKDx75Ymvs/s640/_MG_4706.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mucoba yanufaisha 33,000
BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba), yenye makao makuu wilayani Mufindi mkoani hapa, imewanufaisha zaidi ya wanachama 33,000 kwa kuwapa mikopo yenye thamani ya sh bilioni 10 kwa lengo la kuanzisha...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
NHIF yanufaisha 600 Arusha
ZAIDI ya watu 600 wamenufaika na huduma za upimaji afya bure zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Maendeleo...
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Solar yanufaisha wanawake Unguja
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Miradi ya MCA-T yanufaisha Serikali ya Muungano
Waziri Fedha na Uchumi, Saada Mkuya.
Na Mwandishi wetu- Hazina
Maendeleo ya nchi yoyote duniani yanatokana na rasilimali zilizopo katika nchi husika na mipango madhubuti iliyojiwekea.
Serikali imeanzisha sera za uchumi na programu za maendeleo kwa lengo la kuwawezesha watu na kukuza uchumi nchini.
Sera hizo pamoja na mikakati mbalimbali ilitungwa kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi Watanzania ili wamiliki, waendeshe na wanufaike na uchumi wao kufuatia Dira ya Maendeleo iliyojiwekea ya...
10 years ago
Habarileo14 Aug
Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu
WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.
10 years ago
MichuziHuduma ya Simu Dokta yanufaisha maelfu ya watanzania
Kulwa Saiduni wa Bombo,mkoani Tanga ni miongoni mwa maelfu ya watanzania wanaoweza kupata taarifa zinazohusu afya katika hali ya utulivu wakiwa majumbani mwao.Hii inatokana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuanzisha huduma ya Simu Dokta ambayo inawawezesha wateja wake waliojiunga na huduma hii kupata taarifa za afya kupitia simu zao za mkononi.
Hii huduma ni ya aina yake kuanzishwa nchini Tanzania ikiwa inatolewa na Vodacom.Inashirikisha...