Huduma ya Simu Dokta yanufaisha maelfu ya watanzania
Idadi ya wanaojiunga nayo yazidi kuongezeka
Kulwa Saiduni wa Bombo,mkoani Tanga ni miongoni mwa maelfu ya watanzania wanaoweza kupata taarifa zinazohusu afya katika hali ya utulivu wakiwa majumbani mwao.Hii inatokana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuanzisha huduma ya Simu Dokta ambayo inawawezesha wateja wake waliojiunga na huduma hii kupata taarifa za afya kupitia simu zao za mkononi.
Hii huduma ni ya aina yake kuanzishwa nchini Tanzania ikiwa inatolewa na Vodacom.Inashirikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVODACOM YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMU DOKTA LEO
10 years ago
Habarileo14 Aug
Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu
WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq1b0A69IQArLagzOzN4W0jcX--RzTX-LeGYKvNh-*sBQO-BLcO9CuMyCOpl5ouUJXtuSUQaO5hHS0ihEzNaLyLT/SIMU.jpg?width=650)
SIMU DOKTA YAGOMBEWA ARUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqYUCLJF-jhRPm2hmCFOnqIKfhs4LENH-2n7h2zdovu0E6n0diRSKkognbxyPT0VA0X9yBbPKtO4ER6nJwo2-f*/SIMUDOKTANEW.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Vijimambo02 Nov
Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507848/highRes/865465/-/maxw/600/-/5g85upz/-/daladala.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/tqljDzvZLtw/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Huduma za simu kufika vijijini 2015