Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Huduma ya Tigopesa na WorldRemit wamerahisisha uhamishaji wa fedha kimataifa kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi
Huduma ya kifedha kwa kutumia njia ya simu ya mkononi ya Tigo ijulikayo kama Tigo Pesa inashirikiana na kampuni ya Worldremit ya Uingereza inayofanya huduma za kuhamisha fedha kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watanzania waishio nje ya nchi kutuma fedha moja kwa moja kuja kwa ndugu, jamaa na marafiki waishio Tanzania kwa kupitia simu zao za smartphone, tablets na tarakilishi.
Akitangaza wakati wa uzinduzi huo leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa huduma ya kifedha wa simu za mkononi za Tigo...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40
Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.
Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-qfKfFfoYARLs7yZXS9WQRck1qk2HPtRLZ6XFp3AkDOMUfNNtfmIrELPONoRZQ8RM7MGFEBU9P71tKriRI2vpj/Jimbo.jpg?width=650)
MUSOMA VIJIJINI HUDUMA ZA AFYA, MAJI SAFI, ELIMU NI TATIZO KUBWA
10 years ago
GPLWAKALA WA HUDUMA ZA AJIRA ATANGAZA UTARATIBU WA KUZINGATIA KUUNGANISHWA NA FURSA NJE YA NCHI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s72-c/ko3.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s1600/ko3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-9rLuTAafY/U1kfVLo73AI/AAAAAAAFcpw/EFC0qCv_Fcw/s1600/ko4.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Loga: Hatuna cha kufuata nje ya nchi
KOCHA wa Simba SC, Zdravko Logarusic, amesema kuwa kikosi chake hakitakuwa na kambi ya kujifua nje ya nchi kama ilivyo desturi ya timu hiyo, badala yake wataitumia michuano ya Kombe...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MKUU WA MKOA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMEFUNGUA JENGO LA HUDUMA KWA WAGONJWA WA NJE (O.P.D) KWENYE KITUO CHA AFYA LUMUMA MPWAPWA LENYE THAMANI YA MIL.350
![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-G11Ea-hyKfM/U_FCxNjGGaI/AAAAAAAGAVg/i8tWc1pJ1QA/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ukosefu wa ajira unahatarisha afya za Watanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)