MUSOMA VIJIJINI HUDUMA ZA AFYA, MAJI SAFI, ELIMU NI TATIZO KUBWA
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-qfKfFfoYARLs7yZXS9WQRck1qk2HPtRLZ6XFp3AkDOMUfNNtfmIrELPONoRZQ8RM7MGFEBU9P71tKriRI2vpj/Jimbo.jpg?width=650)
Musoma Vijijini ni moja kati ya wilaya sita zinazounda Mkoa wa Mara. Upande wa Kaskazini, inapakana na Tarime na Musoma Mjini, Upande wa Mashariki, kuna Wilaya ya Sengerema, Kusini kuna Wilaya ya Bunda na Magharibi inapakana na Ziwa Victoria. Mheshimiwa Nimrod Mkono. Pia Musoma Vijijini ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Nimrod Mkono kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
UKAWA waahidi kuimarisha huduma za afya, maji safi katika Kampeni Za Ubunge Masasi
Ikiwa zimebaki siku tano kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la Masasi Mkoani Mtwara Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA vimeendelea kufanya kampeni ambapo suala la kuboresha uuzwaji wa Korosho,Upatikanaji wa maji safi na Salama pamoja na huduma bora katika vituo vya afya kuchukua nafasi katika kampeni hizo.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Chadema Pamoja na Chama cha wananchii CUf wameendelea kufanya kampeni huku wakiwaomba wananchii kumchagua kundambanda kuwa...
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji
Twaweza, kama sehemu ya kazi zake kwenye Mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), imetoa tuzo za kompyuta (aina ya laptops) na taa zinazotumia nishati ya jua kwa waandishi 37 kutokana na mawazo yao juu ya namna Serikali na wananchi wanavyoweza kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji.
Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
Wanakijiji wa Muembe Majogoo kuondokewa na tatizo la maji safi na salama
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akiwapongeza Wananchi wa Kijiji cha Muembe Majogoo kwa ustahamilivu wao wa kukosa huduma za maji safi ambayo haiko mbali kupatikana muda mfupi ujao.(Picha na – OMPR – ZNZ).
Uongozi wa Jimbo la Kitope uko katika jitihada za kufanya maarifa ya kuhakikisha huduma za maji safi na salama inapatikana katika kijiji cha Muembe Majogoo ili kuwaondoshea u Wananchi wa Kijiji hicho usumbufu wa ukosefu wa huduma hiyo muhimu.
Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWc6viRHgk-axR1d0*XhhkG0pD3gCcGX5eMi6VI6kOCBGq8mZREnAj5VTkcFDi00w8FL9PBx8AvL-YuI4UKN7y9/Ludewa.jpg?width=650)
LUDEWA; AFYA, MAJI SAFI NA MAWASILIANO NI MATATIZO SUGU
10 years ago
Habarileo22 Sep
Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ymc_gsNo6EQ/VLfBVYiXWFI/AAAAAAAG9ic/eH1SBqf9_7I/s72-c/622.jpg)
Balozi Seif Iddi akabidhi mabomba 250 ya kusambazia huduma za maji safi Wilaya ya Kaskazini “ B “
Alisema Viongozi na hata Serikali Kuu huhamasika na kushawishika zaidi kusaidia hata uwezeshaji na hata vifaa kwenye miradi ya Jamii baada ya kuona nguvu za Wananchi zimeanza au kuiendelezwa katika kujikomboa na...