UKAWA waahidi kuimarisha huduma za afya, maji safi katika Kampeni Za Ubunge Masasi
Ikiwa zimebaki siku tano kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la Masasi Mkoani Mtwara Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA vimeendelea kufanya kampeni ambapo suala la kuboresha uuzwaji wa Korosho,Upatikanaji wa maji safi na Salama pamoja na huduma bora katika vituo vya afya kuchukua nafasi katika kampeni hizo.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Chadema Pamoja na Chama cha wananchii CUf wameendelea kufanya kampeni huku wakiwaomba wananchii kumchagua kundambanda kuwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-qfKfFfoYARLs7yZXS9WQRck1qk2HPtRLZ6XFp3AkDOMUfNNtfmIrELPONoRZQ8RM7MGFEBU9P71tKriRI2vpj/Jimbo.jpg?width=650)
MUSOMA VIJIJINI HUDUMA ZA AFYA, MAJI SAFI, ELIMU NI TATIZO KUBWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cr9oEYnUrpM/VLqkp63NeKI/AAAAAAAG-A4/7zA-MAF5UqY/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Jimbo la Kitope kuhakikisha huduma za maji safi na salama inapatikana katika kijiji cha Muembe Majogoo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-Geks1xkFgDc/VnXurDUVQeI/AAAAAAAAXek/WQZZaqgXEsQ/s72-c/0f002a5b-e67c-4896-83c8-a74b493be64e.jpg)
MKUTANO WA MWISHO WA UKAWA WA KUFUNGA KAMPENI YA UCHAGUZI MDOGO WA MASASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWc6viRHgk-axR1d0*XhhkG0pD3gCcGX5eMi6VI6kOCBGq8mZREnAj5VTkcFDi00w8FL9PBx8AvL-YuI4UKN7y9/Ludewa.jpg?width=650)
LUDEWA; AFYA, MAJI SAFI NA MAWASILIANO NI MATATIZO SUGU
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
9 years ago
StarTV06 Jan
Serikali ya Zanzibar yaweka mpango mkakati Kuimarisha Huduma Za Afya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein amesema mpango mkakati wa Serikali ni kuimarisha huduma za afya na kuigeuza Hospitali kuu ya Mnazi mmoja kuwa ya rufaa kwa majengo na uimarishaji huduma, vifaa na watendaji wa kada hiyo.
Amesema wakati sasa umefika kwa wananchi wa Zanzibar kufaidika na huduma bora za afya kwa urahisi na gharama nafuu kila inapohitajika ili kwenda sambamba na malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 64 ya kuimarisha huduma za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ymc_gsNo6EQ/VLfBVYiXWFI/AAAAAAAG9ic/eH1SBqf9_7I/s72-c/622.jpg)
Balozi Seif Iddi akabidhi mabomba 250 ya kusambazia huduma za maji safi Wilaya ya Kaskazini “ B “
Alisema Viongozi na hata Serikali Kuu huhamasika na kushawishika zaidi kusaidia hata uwezeshaji na hata vifaa kwenye miradi ya Jamii baada ya kuona nguvu za Wananchi zimeanza au kuiendelezwa katika kujikomboa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...