MKUTANO WA MWISHO WA UKAWA WA KUFUNGA KAMPENI YA UCHAGUZI MDOGO WA MASASI

Selemani Bungala (Bwege) wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) akihutubia maelfu na wakazi wa masasi jioni ya leo Idadi kubwa ya wakazi wa jimbo la Masasi na Viunga vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika uwanja wa mti wa mwiba jimboni hapo katika mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge ndani ya Jimbo hilo la Masasi Mbunge wa jimbo la Kinondoni Jijini Dar es
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CHADEMA Blog
MKUTANO WA MWISHO WA KAMPENI YA URAIS WA UKAWA KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI DAR ES SALAAM.
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
StarTV15 Dec
UKAWA waahidi kuimarisha huduma za afya, maji safi katika Kampeni Za Ubunge Masasi
Ikiwa zimebaki siku tano kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la Masasi Mkoani Mtwara Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA vimeendelea kufanya kampeni ambapo suala la kuboresha uuzwaji wa Korosho,Upatikanaji wa maji safi na Salama pamoja na huduma bora katika vituo vya afya kuchukua nafasi katika kampeni hizo.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Chadema Pamoja na Chama cha wananchii CUf wameendelea kufanya kampeni huku wakiwaomba wananchii kumchagua kundambanda kuwa...
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
11 years ago
Habarileo12 Feb
Kampeni za uchaguzi mdogo Kalenga kuanza wiki ijayo
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepanga ratiba ya Uchaguzi mdogo katika jimbo la Kalenga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ambapo siku ya kupiga kura itakuwa Jumapili ya Machi 16, mwaka huu na kampeni zitaanza wiki ijayo.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Membe afunga kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya kiwalala
.jpg)
11 years ago
Michuzi
CCM YAENDELEA NA MBIO ZAKE KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Hondogo,Kata ya Mandera wakati wa muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo,leo Machi 29,2014.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe,Suleiman Jaffo akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mandera Kibaoni wakati akimuombea Kura Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwenye...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10