Membe afunga kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya kiwalala
![](http://2.bp.blogspot.com/-b4RbCQetRX4/UvcZ9apUmYI/AAAAAAAFL3w/iQ_wKwv76W8/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Na Abdulaziz Video,lindi
Kampeni za Uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kiwalala umefungwa na Mgeni Rasmi Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mhe. Bernard Membe kwa kuwataka wananchi wa kata hiyo kutofanya makosa kwa kumchagua ndg Zahoro Shineni
Mkutano huo ambao ulihudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama mkoa wa Lindi akiwemo katibu mkuu wa Umoja wa Vijana Taifa pamoja na Viongozi wa CCM wa mkoa wa Mtwara waliokuwa wakielekea katika kufunga kampeni za Uchaguzi Mdogo Huko Mkwiti Mkoani Mtwara
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_9Q8Ah7sNdA/VIwR9sDza5I/AAAAAAAAZSc/eLR2FsyZij8/s72-c/20141212_150512.jpg)
DIWANI MATHIUS WA KATA YA MALANGARINI AFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATANI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9Q8Ah7sNdA/VIwR9sDza5I/AAAAAAAAZSc/eLR2FsyZij8/s1600/20141212_150512.jpg)
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi cote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
11 years ago
GPLCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo
Katibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...
9 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar
9 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE DAR ES SALAAM LEO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10