Wanakijiji wa Muembe Majogoo kuondokewa na tatizo la maji safi na salama
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akiwapongeza Wananchi wa Kijiji cha Muembe Majogoo kwa ustahamilivu wao wa kukosa huduma za maji safi ambayo haiko mbali kupatikana muda mfupi ujao.(Picha na – OMPR – ZNZ).
Uongozi wa Jimbo la Kitope uko katika jitihada za kufanya maarifa ya kuhakikisha huduma za maji safi na salama inapatikana katika kijiji cha Muembe Majogoo ili kuwaondoshea u Wananchi wa Kijiji hicho usumbufu wa ukosefu wa huduma hiyo muhimu.
Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cr9oEYnUrpM/VLqkp63NeKI/AAAAAAAG-A4/7zA-MAF5UqY/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Jimbo la Kitope kuhakikisha huduma za maji safi na salama inapatikana katika kijiji cha Muembe Majogoo
10 years ago
Habarileo29 Jan
8,000 wafaidika na maji safi na salama
WANANCHI zaidi ya 8,000 wanaoishi katika vijiji vya Dala na Mvuha kata ya Mvuha, wilayani Morogoro, wameanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kukamilishwa kwa upanuzi wa mradi wa kisima cha maji kilichopo katika kata hiyo.
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Mtwara yapiga hatua upatikanaji wa maji safi na salama
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akieleza lengo la ziara ya kamati hiyo mkoani Mtwara.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi, akizungumza na wanahabari kuhusu ziara ya kamati hiyo ambayo inahitimishwa leo wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Mhandisi wa...
10 years ago
VijimamboMradi wa maji safi na salama wazinduliwa Kiwani, Pemba
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Wananchi Ngudu na matarajio ya kufaidi maji safi na salama
MAJI ni moja ya huduma za muhimu na za msingi kwa maisha ya binadamu. Mbali ya maji kutumika katika shughuli za kila siku za mwanadamu, mifugo na wanyamapori, pia ni...
10 years ago
GPLMAHABUSU YA WATOTO YAPATA MSAADA WA KIFAA CHA KUSAFISHA MAJI SAFI NA SALAMA
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI SAFI NA SALAMA MKOANI SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WuKigAmZbnA/U2eeQYPqxhI/AAAAAAAA-S4/fHvcQBosT3A/s1600/s11.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6-qfKfFfoYARLs7yZXS9WQRck1qk2HPtRLZ6XFp3AkDOMUfNNtfmIrELPONoRZQ8RM7MGFEBU9P71tKriRI2vpj/Jimbo.jpg?width=650)
MUSOMA VIJIJINI HUDUMA ZA AFYA, MAJI SAFI, ELIMU NI TATIZO KUBWA