Loga: Hatuna cha kufuata nje ya nchi
KOCHA wa Simba SC, Zdravko Logarusic, amesema kuwa kikosi chake hakitakuwa na kambi ya kujifua nje ya nchi kama ilivyo desturi ya timu hiyo, badala yake wataitumia michuano ya Kombe...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo kuhakikisha viwango vya bidhaa zinazalishwa ndani na nje ya nchi
*Miradi ya Ujenzi mbalimbali wa Serikali unatumia bidhaa za Viwanda vya ndani kutokana Viwango kufikiwa
Na Ripota wetu-Michuzi TV.
Kitengo Cha Uhandisi wa Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kimesema kuwa Nondo, Bati na Misumari na bidhaa zingine za kiuhandisi zimekuwa na viwango na kukubalika katika Kanda mbalimbali
Akizungumza na michuzi Tv Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa TBS Joseph Mwaipaja amesema kuwa tangu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo (TBS) kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa ndani na nje ya nchi zinakidhi kiwango husika
![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s640/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_7_-d-Uav3E/Xr6E4G9b7oI/AAAAAAALqVE/ZdM6LFA9sZUeBijkunpG7J3l7j9LvJUdQCLcBGAsYHQ/s640/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3.jpg)
9 years ago
StarTV12 Oct
Viongozi wa Dini wahimizwa kufuata sheria za nchi
Viongozi wa Dini nchini wametakiwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria za nchi wakati wanapotaka kusajili taasisi zao kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho.
Tamko hilo limetolewa kwa madai kuwa baadhi ya Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste ambao hawako kwenye Baraza la Makanisa nchini wanakiuka taratibu za usajilli.
Maaskofu hao wamelilaumu Baraza la Makanisa ya Kipentekoste na Serikali kuwa wanazuia usajili kukiwa na tetesi ya kutaka kufutwa kwa baadhi ya taasisi.
Akijibu...
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
![12093648_1677922595778221_1833644946_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093648_1677922595778221_1833644946_n-300x194.jpg)
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-09C2HfNa7MI/Vlrm4FwmOrI/AAAAAAAII_k/HbxChilFEjY/s72-c/8dd172c3-aef3-4cc7-a8d8-4b88f56ba413.jpg)
HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrx7dAk4dBzPodL0NpZJsXgbXFr0*Fl-kj7Yur8a9-yb1Ig*w0TbVQ3LA7yI0jculjqtN8EIgVY942*l5NUBka1B/2Pichana3.jpg?width=650)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YATOA ANGALIZO KWA MAKAMPUNI YANAYOAJILI WAFANYAKAZI WENGI KUTOKA NJE YA NCHI
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Mahafali ya 49 chuo cha CBE yafana, Serikali yatoa angalizo kwa makampuni yanayoajiri wafanyakazi wengi kutoka nje ya nchi
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam akiimba wimbo wa Taifa wakati wa ufunguzi rasmi wa mahafali hayo jijini Dar es salaam. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Mathew Luhanga (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema.
Na. Aron Msigwa – Dar es salaam.
SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi
TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...