Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s72-c/1.jpg)
MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-URVZtmmpABM/VeVWQUDaWsI/AAAAAAAH1cY/l1jQBPc52rE/s640/2.jpg)
10 years ago
Bongo512 Nov
AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
9 years ago
Bongo505 Oct
AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XRwO0bLTjyo/VBbQTAh9YBI/AAAAAAAGjvE/l2p0aEdx5OA/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Simba Chawene awataka Watanzania kuacha kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba
![](http://3.bp.blogspot.com/-XRwO0bLTjyo/VBbQTAh9YBI/AAAAAAAGjvE/l2p0aEdx5OA/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo linaloendelea Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji mkubwa na watu hao wanapaswa kuangaliwa kuhusu uzalendo wao.
Mhe. Chawene ameeleza kuwa inasikitisha zaidi hasa pale shutuma...
10 years ago
MichuziKAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...