Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje

12093648_1677922595778221_1833644946_n

Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.

12093648_1677922595778221_1833644946_n

Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.

“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.

“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI

  Msanii wa Reggae Princes Delyla akiongea na wadau wa Sanaa kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii kwenye makao makuu ya Baraza hilo Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Msanii Mwasiti Almas na Afisa Sanaa kutoka BASATA Augustino Makame.  Msanii wa kizazi kipya Mwasiti Almas(katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na wadau wa Sanaa kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linalofanyika makao makuu ya...

 

10 years ago

Bongo5

AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania

Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa

Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]

 

9 years ago

Bongo5

AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua

Rapper AY amewataka wasanii wa Tanzania kuacha woga wa kuuliza vitu wasivyovijua. AY ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wasanii wengi wa Tanzania ni waoga wa kuuliza. “Wasanii wa Tanzania ni waoga kuuliza yale wasioyajua au wanayajua ila hawana uhakika nayo,” alisema. “Wengine hudhani kuwa wanajua mengi kuliko waliowatangulia. Tusiwe waoga kuuliza na kufatilia yanayohusu tasnia […]

 

10 years ago

Bongo5

AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje

Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]

 

11 years ago

Mwananchi

awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele

Tanzania imejaaliwa kuwa na vipaji vya wanamuziki wengi wa miondoko ya kila aina na baadhi yao wakifanya kazi zaidi ya moja katika fani hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.

  Afande Sele akiwa na watoto wake wawili alioachiwa na Marehemu Mama Tunda,ambao ni Tunda na Asante Sanaa wakiwa wamepozi mbele ya Camera ya Globu ya jamii mapema leo mchana,Walipokwenda kwenye Arobaini iliyoanyika mtaa wa Amani mjini Morogoro. Msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya,Mkali wa Rhymes Afande Sele akiushukuru Uongozi wa Clouds Media Group sambamba na kuwashukuru Wasanii hao waliofika kutoa mkono wa pole kwa familia ya Mama mzazi wa marehemu Mama Tunda (aliyekuwa mke wa Msanii...

 

10 years ago

Michuzi

Simba Chawene awataka Watanzania kuacha kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba

Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo linaloendelea Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji mkubwa na watu hao wanapaswa kuangaliwa kuhusu uzalendo wao.
Mhe. Chawene ameeleza kuwa inasikitisha zaidi hasa pale shutuma...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI

Kamanda wa Polisi  Kanda Maalum ya Dar es salaam,Kamishna Suleiman Kova (wa nne kutoka kushoto) amewataka askari wote  wa Kanda hiyo  kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu, na kufuata maadili ya  kazi katika utendaji wao wa kila siku.
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani